Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mara ya mwisho waliposhiriki, Simba ndio walianza kutolewa mapema na UD Songo.Utopolo atacheza kimataifa mwakani kwa mgongo wa Simba, cha msingi wasilete aibu kwa taifa kwa kutolewa mapema.
....ina maana Simba walileta aibu kwa taifa?