Anakwenda kushiriki kwasababu simba wamewezesha nafasi ya viti maalumu ikiwepo hiyo ya pili. Normally mawakilishi wa kimataifa Tanzania ni wawili bingwa wa ligi kuu na bingwa wa shirikisho ila kutokana na msaada wa baba wa Mpira bongo kuwatafutia nafasi za ziada watoto wake huko Caf ndiyo maana na nyinyi mmepata.