Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mtego umebuma...😁😁😁😁😁Kweli Jeshi la Polisi Tanzania ni la mfano Duniani. Hongera Jeshi letu.
View attachment 2517403
[emoji3][emoji3]Hayo mambo ndio wanayaondoa sasa hivi ndinga za Polisi kama za JW tu.Sio kwa nchi yangu mim ninavyo ijua, ukifika unapoenda lazima uwape pesa ya dhamana...[emoji1787]
Nitakua wamwisho kuwaamini hawa watu aiseee[emoji3][emoji3]Hayo mambo ndio wanayaondoa sasa hivi ndinga za Polisi kama za JW tu.
Polisi wamebadilika sasa hivi tusiwaogope Bali ni kutii Sheria tu, Defender sasa ivi kama Ashok tu[emoji28]Polisi hapana, JW ndio najua huwa wanatoa lift na hawanaga maneno
Jidanganye tu. Hao watu hawaijui PGO, jichanganye tu lakini usije kulialia hapaPolisi wamebadilika sasa hivi tusiwaogope Bali ni kutii Sheria tu, Defender sasa ivi kama Ashok tu[emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni sawa na kuambiwa ukikosa pa kulala kalale kituo cha polisi. Kujitia nuksi tu.
Mkuu wewe panda mtajuana kwenye gari ,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Waandike route kabisa ili kutupunguzia usumbufu wa kuuliza uliza.....