Sasa ni ruksa kuomba Lifti kwenye gari la Polisi.

Wataomba wangapi ? au kama vipi watembelee Fuso Kabisa ili kuwahudumia wengi, by the way Lift kwenda wapi ?
 
Yaliyomkuta zuwena yamewakuta na njagu? [emoji15][emoji15] wamebadilika sana.
 
Nani akubali kunasa kwenye mtego wa panya! Bora nitembee kwa miguu. Dakika 0, hawachelewi kukubambikia kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha.

Polisi wa nchi hii, hawana maana kabisa. Wanapenda sana rushwa, hawaaminiki, ni vigeugeu, halafu wananuka njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…