Kama hawakugusa popote labda ndio muda ulikuwa umefika wa kitu kimoja wapo kwenye airbag kuleta shida.Gari yangu aina ya Raum 2nd generation niliipaki kama week 2 ilikuwa na changamoto ya brake system nzima na kwa bahati mbaya ikasababisha mpka betri kuwa low maana gari ilikuwa aitumiwi majuzi imetengenezwa brake system nzima na betri ku boost na shangaa taa ya AIRBAG ina blink fundi...Fundi aliniambia inawezekana maji yameingia kweny fuse sijui ya AIRBAG ila itazima tu yenyewe ila sasa ni siku ya 3 sasa aizimi na inaniboa ..Msaada naomba wajuzi
Battery inaweza kuwa sababu.. Tafuta battery mahali utest mitambo..!
Low voltage kwenda kwenye computer ya gari ECU.. Inaichanganya.. Inatrigger codes nyingine..Howw? Battery inawezaje kuwasha other warning light
M najua battery itawasha taaa ya batery
Ilishatokea kwenye gari hiyo taa ilikuwa ikiwaka kwa muda mrefu, ila kumbe ule waya ulikuwa umelegea kwenye socket, fundi kaichomeka vizuri taa ikazima...check hizo connection piaGari yangu aina ya Raum 2nd generation niliipaki kama week 2 ilikuwa na changamoto ya brake system nzima na kwa bahati mbaya ikasababisha mpka betri kuwa low maana gari ilikuwa aitumiwi majuzi imetengenezwa brake system nzima na betri ku boost na shangaa taa ya AIRBAG ina blink fundi...Fundi aliniambia inawezekana maji yameingia kweny fuse sijui ya AIRBAG ila itazima tu yenyewe ila sasa ni siku ya 3 sasa aizimi na inaniboa ..Msaada naomba wajuzi
mimi kwenye noah yangu nilitembea na taa ya air bag mwaka mzima..MREJESHO :tatzo ilikuwa ni sensor kwenye kiti cha abiria mbele inakaa kweny kiti ina detect pressure mtu akikaa afunge mkanda ndio ilikuwa imekufa
Ww ndio kibokomimi kwenye noah yangu nilitembea na taa ya air bag mwaka mzima..
[emoji23][emoji23]mimi kwenye noah yangu nilitembea na taa ya air bag mwaka mzima..
We jamaa Design ya wale don't caremimi kwenye noah yangu nilitembea na taa ya air bag mwaka mzima..