Sasa ni wakati muafaka ''Brothe K'' Uchukue nafasi ya '' Mzee Majuto''

Kilometre alizotembea marehemu mzee Majuto mpaka pale alipofikia uyo Braza K akaze kota kufika hata nusu ya safari hiyo na kwa sasa inabidi amkimbize kwanza Joti ambae yuko kilometre nyingi mbele yake ndio awaze kufika nusu ya King Majuto.
 
Nilikuwa mbioni kuanzisha uzi kumhusu huyu brother,jamani huyu mtu ni noma,nikimuona tu vile alivyo basi stress zote kwishnei,akiongea hapo kwangu ni sherehe tosha,kibongobongo nikiri mo like you.Keep it on.
 
Umeniahi aysee

Kuna ile moja anaulizwa mzee upo WhatsApp? Insta je hahhh comedian are born not made

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Joti
2.Joti
3.Joti
4.Joti
5.Idris Sultan
6.Anko Zumo
7.Oka Martin
8.Jaymondy



Wa 9 na 10 nitawaorodhesha nikikumbuka, Brothet k ni ile movie na King Majuto tu ndio nilimuona mchekeshaji ila Futuhi amna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nachokumbuka marehemu majuto alikuwa havai minguo oversize ili kuchekesha .... sasa huyu jamaa yenu yeye hadi avae yale mavest yake size ya ng'ombe
 
Kama
ndio majuto amepanga nyumbani kwake, yeye ndio landlord hiyo nyumba inawapangaji kibao utata mtupu humo brother K hafai.
Kama ni hiyo niliwahi kuiona lakini sikuipenda

Vipi ww ni mwenyeji wa kanda ya ziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…