Sasa ni wakati muafaka ''Brothe K'' Uchukue nafasi ya '' Mzee Majuto''

1.Joti
2.Joti
3.Joti
4.Joti
5.Idris Sultan
6.Anko Zumo
7.Oka Martin
8.Jaymondy



Wa 9 na 10 nitawaorodhesha nikikumbuka, Brothet k ni ile movie na King Majuto tu ndio nilimuona mchekeshaji ila Futuhi amna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Idris anachekesha nini jamani.... huyu na Mc Pilipili sijawahi kuwaelewa kabisa

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Ila kiukweli Joti anachekesha uongo mbaya halafu ndio afatie Brother K.



Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Mnhh..anaonekana kwenye TV gani!?
 
Japo yupo vizuri ila JOTI ni habari nyingine, kijamaa kinachekesha kile!!!
 
Nafasi ya majuto inaweza kuchukuliwa na mtu ambae asiegizi sauti ya aina yeyote na pia awe na kipaji cha kuzaliwa.Mfano Mboto haigizi sauti ya mtu yeyote ni naturally hatumii nguvu..No funny sound effect hao watapita
 
Wale wachekeshaji wa marekani na nchi za dunia ya kwanza hawavaagi rafu kama baadhi ya comedian wetu, nafikiri huyu nae avae smart tu, maneno na matendo ndio yalenge kuchekesha. Sio mavazi machafu chafu na milapa mikuuuuubwaaa
 
Ni kwel jot yupo vizur , Seema hua anakera anapoigiza Kama mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazima tv na unamuona alivyovaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…