Sasa ni Wakati wa Karia kumuombea Max uraia, akipige stars

Sasa ni Wakati wa Karia kumuombea Max uraia, akipige stars

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na Sasa kibu Denis prospa kiungo hatari wa Simba ni mchezaji wa Star.

Hapo Sasa, pia nimefikiria katika Ligue yetu tuma wachezaji wazuri ambao bado hawajacheza timu ya taifa. Nimefikiria katika jambo hilo basi Rais karia amfikirie max Ili apewe uraia na akipige katika timu yetu ya taifa , ambayo itashiriki afcon.

Haya ni mawazo tu, inawezekana yakawa ya hovyo, lakini tuangalie hili kama inawezekana
 
Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na Sasa kibu Denis prospa kiungo hatari wa Simba ni mchezaji wa Star.

Hapo Sasa, pia nimefikiria katika Ligue yetu tuma wachezaji wazuri ambao bado hawajacheza timu ya taifa. Nimefikiria katika jambo hilo basi Rais karia amfikirie max Ili apewe uraia na akipige katika timu yetu ya taifa , ambayo itashiriki afcon.

Haya ni mawazo tu, inawezekana yakawa ya hovyo, lakini tuangalie hili kama inawezekana
Ana miaka mingapi?Umri wake tafadhali
 
Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na Sasa kibu Denis prospa kiungo hatari wa Simba ni mchezaji wa Star.

Hapo Sasa, pia nimefikiria katika Ligue yetu tuma wachezaji wazuri ambao bado hawajacheza timu ya taifa. Nimefikiria katika jambo hilo basi Rais karia amfikirie max Ili apewe uraia na akipige katika timu yetu ya taifa , ambayo itashiriki afcon.

Haya ni mawazo tu, inawezekana yakawa ya hovyo, lakini tuangalie hili kama inawezekana
According to vigezo vya nchi na taratibu halitowezekana. Kuzeni vipaji vya nchi yenu musche kudandia raia wa nje
 
Kuna muda ambao anatakiwa kuishi Tanzania ndio apewe uraia, nafikiri ni miaka mitano. Kwa wachezaji wa kigeni kama Morrison aliweka makazi yake Tanzania tangu kipindi anaenda yanga kwa mara kwanza nafikiri sasa hivi atakua amebakiwa na miezi michache tu aweze kuomba uraia na kucheza timu ya Taifa,
 
Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na Sasa kibu Denis prospa kiungo hatari wa Simba ni mchezaji wa Star.

Hapo Sasa, pia nimefikiria katika Ligue yetu tuma wachezaji wazuri ambao bado hawajacheza timu ya taifa. Nimefikiria katika jambo hilo basi Rais karia amfikirie max Ili apewe uraia na akipige katika timu yetu ya taifa , ambayo itashiriki afcon.

Haya ni mawazo tu, inawezekana yakawa ya hovyo, lakini tuangalie hili kama inawezekana
Hivi unafikiri kila mtu anautaka uraia wa Tanzania? Au unadhani ukitaka fulani awe raia basi anapewa kwa nguvu yako hata kama yeye hana nia hiyo?
 
Hivi unafikiri kila mtu anautaka uraia wa Tanzania? Au unadhani ukitaka fulani awe raia basi anapewa kwa nguvu yako hata kama yeye hana nia hiyo?
madunduka mengi hayajitambui yey anazani urai ni kama kupika chapati na vitumbua
 
Max ni mchezaji fulani anaonekana ana nidhamu sana..
Ingawa vituko waliofanyiwa ni Simba, lakini kitendo Kibu amewafanyia Simba kinenifanya nimuone ni kijana wa hovyo sana, asiyejielewa wala asiye na shukrani.
 
Kuna muda ambao anatakiwa kuishi Tanzania ndio apewe uraia, nafikiri ni miaka mitano. Kwa wachezaji wa kigeni kama Morrison aliweka makazi yake Tanzania tangu kipindi anaenda yanga kwa mara kwanza nafikiri sasa hivi atakua amebakiwa na miezi michache tu aweze kuomba uraia na kucheza timu ya Taifa,
Kuna special cases mkuu. Under certain circumstances for the national interests, government has the discretion to expedite the naturalization process.
 
Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na Sasa kibu Denis prospa kiungo hatari wa Simba ni mchezaji wa Star.

Hapo Sasa, pia nimefikiria katika Ligue yetu tuma wachezaji wazuri ambao bado hawajacheza timu ya taifa. Nimefikiria katika jambo hilo basi Rais karia amfikirie max Ili apewe uraia na akipige katika timu yetu ya taifa , ambayo itashiriki afcon.

Haya ni mawazo tu, inawezekana yakawa ya hovyo, lakini tuangalie hili kama inawezekana
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom