Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.
Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?
Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.
Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?
Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.
Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.