Mr002
New Member
- Jan 24, 2025
- 3
- 3
Ni kweli kabisa kwa sasa tunahitaji KATIBA MPYA mambo mengi sana ndani ya KATIBA ya MWAKA 1977, yameshapitwa na wakati na yanahitaji kufanyiwa marekebishi.hasa kuhusu huu mgawanyo wa serikali na madaraka kwenye muungano , kwann Zanzibar Ina serikali yake lakini tanganyika Haina? Tuna serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na neno Tanzania limetokana na muungano wa pande mbili tanganyika ilienda wapi? Kwann tusingekuwa na serikali moja? Au basi , ingekuwepo serikali ya tanganyika pia
Pia Kuna hii ibara inayotaka , ili uwe na vigezo VYA kuwa waziri lazima uwe mbunge, hii sio sawa mtu MMOJA atawezaje kutimiza majukumu ya uwaziri pia na kuwakilisha Jimbo lake ipasavyo? Lazima hizi nafasi zitenganishwe waziri abaki kuwa waziri na mbunge abaki kuwa mbunge .time to work up..
Pia Kuna hii ibara inayotaka , ili uwe na vigezo VYA kuwa waziri lazima uwe mbunge, hii sio sawa mtu MMOJA atawezaje kutimiza majukumu ya uwaziri pia na kuwakilisha Jimbo lake ipasavyo? Lazima hizi nafasi zitenganishwe waziri abaki kuwa waziri na mbunge abaki kuwa mbunge .time to work up..