Wewe ndio unalamba asali. Mmekalia upinzani wakati mmejazana bungeni na halmashauri. Kila baya lazima mtafute njia ya kuingiza upinzani. Mnafiki mkubwa wewe.Walamba asali ni pamoja na viongozi wa vyama vya upinzani
Kama alivyokufa yeye Magufuli. Maana ndio alikuwa kubwa la majizi.Falsafa ya Dkt Magufuli ni uzalendo na kuhakikisha rasilimali zinalifaidisha taifa, na huo ndiyo msimamo wa rais Dkt Samia, na ndiyo maana lile kundi la wezi wote na wenye uchu na kuiibia nchi lazima wafe kabisa wote ili taifa liendelee
Ccm ijitafakari inaweza kuzikwa soonBaada ya msiba wa Bernard Membe kutangazwa kumekuwepo na mpasuko wa wasi kati wafuasi wa Hayati Magufuli na walamba asali ya serikali ya awamu ya sita maarufu kama MSOGA GANG.
Kundi la Hayati Magufuli linajumuisha wavujajasho na watu wenye subiri
Kundi la walamba asali linajumuisha vyombo vya habari karibu vyote, watoto wa mjini (misheni town) wafanyabiashara wa kimafia.
Moto alouwasha hautokaa uzimike, ni swala la muda tu, tunapokaa kimya wanapomdhihaki mitandaoni wanahisi wao ndo the majority, siku yaja.Baada ya msiba wa Bernard Membe kutangazwa kumekuwepo na mpasuko wa wasi kati wafuasi wa Hayati Magufuli na walamba asali ya serikali ya awamu ya sita maarufu kama MSOGA GANG.
Kundi la Hayati Magufuli linajumuisha wavujajasho na watu wenye subiri
Kundi la walamba asali linajumuisha vyombo vya habari karibu vyote, watoto wa mjini (misheni town) wafanyabiashara wa kimafia.
Na bado huo ndo mwanzo tu.mtalia sanaHakuna mgawanyiko,kuna vichaa wachache tu hapa mtandaoni wanacheua pumba zao,tuwapuuze