Sasa ni zamu ya Zanzibar kutoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Sasa ni zamu ya Zanzibar kutoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Nilikuwepo kwenye hiyo daladala ulivyoshuka yule mzee akaendelea kufoka huku akikipiga kiti kwa nguvu anasisitiza ni lazima awe mzanzibar tena atoke chake chake

Na IGP pia ni zamu ya znz
Na mkuu wa majeshi pia ni zamu ya zanzibar, tokea liundwe jwtz magenerali wote wametoka bara Kwa hivyo mabeyo akimaliza muda wake safari hii ni zamu yetu mheshimiwa Samia usiliwache hili mabeyo karibu anamaliza muda wake wa utumishi.
 
Baada ya shughuli nyingi za kukimbiza shilingi nipo ndani ya Dada Dala habari kubwa ni hotuba ya Mh Rais Samia.

Ghafla anasimama Mzee wa Makamu kavalia Barakashia kama ile ya Kassim Majaliwa anafoka ungefikiri tuko kituo cha polisi “sasa ni zamu ya Zanzibar kutoa Spika wa bunge la JMT”

Bahati mbaya bus linafika kituo changu cha kushuka.
Ghafla anasimama Mzee wa Makamu kavalia Barakashia kama ile ya Kassim Majaliwa anafoka ungefikiri tuko kituo cha polisi “sasa ni zamu ya Zanzibar kutoa Spika wa bunge la JMT”

Bahati mbaya bus linafika kituo changu cha kushuka.[emoji23]
 
Back
Top Bottom