Sasa nimeelewa kwanini Penny na Kidoti walitoa mimba za Diamond

Sasa nimeelewa kwanini Penny na Kidoti walitoa mimba za Diamond

Haijalishi sababu ila kuchomoa mimba haikubaliki isipokuwa kwasababu za kiafya kwa ushauri wa madaktari
 
Najua watu tunamlaumu sana D,lkn asilimia kubwa wasanii wengi wa kiume ni malaya,sometimes huwezi kuwalaumu kutokana na nature ya kazi yao wanakutana na watoto wa kike wengi wanao jilengesha wenyewe.

We Dully Skykes mpaka sasa ana watoto sita kutoka kwa wanawake 6,Kiba watoto wanne kutoka kwa wanawake wanne,Mbosso hajavuka 30yrs kishazaa na wanawake watatu,Aslay naye miaka miwili iliyopita nimesikia ameshazaa na wanawake wawili,Barnaba naye hivyo hivyo,Nay kishazaa na wanawake watatu hata huyu dogo aliyekuwa naye sasa hivi atapiga na kutambaa.

Ila vya Diamond vina vuma sababu maisha yake ya kimahusiano kayaweka kwenye mitandao,wenzake ni malaya wa KIMYA KIMYA.

Huyo Bob Marley mwenyewe pamoja na IQ yake kubwa kimziki,lkn alishindwa kumcontrol Abdalah kichwa wazi ,kamwendekeza hatimaye kazaa na wanawake 9.

Bob Marley: All His Children & 9 Baby Mommas

Ila kuchomoa mimba siku zote humkomoi mwanaume bali hiyo dhambi itaendelea kukutafuna KIROHO na KIMWILI (afya) na kama husipo iungama itakutafuna mpaka kaburini.
 
hao mabinti wanalazimishwa? kuna asiejua uchafu wa diamond? lakini still wanajipeleka, mfano tanasha uuwi yule dada ndo alinishangaza kupita woooote, sijui alizani yy anakuja na muujiza gani masikini, yani kaingia faster na kubeba mimba fasher, hv mwanaume ana watoto watatu kwa wanawake wawili tofauti, na wote walishazalilishwa in public, ni mtu wa kukimbilia kuzaa nae kweli huyo? hapana kwa kweli, as much as daimond ananichefua ila hawa wadada wanaojipeleka kwake wananichefua zaidi
Acha tuseme ndumba zake ndizo zinawapumbaza na kushindwa kujielewa hao mabinti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wadada nao hawampi chance ya kuwapenda, wanajirahisisha mno
 
Inaonekana we unazichomoa sana mimba za masela kitaa,angalia usije kuwa mgumba mbeleni
 
Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti.

Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema master wa copy n paste and remix za hit song za watu. Na ndo nimepata jibu kwanini wanawake wale wali abort mimba za D, mpaka analalamika Sana mpaka kwenye nyimbo.
Unauhakika na uliyoyaandika?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wanaopata single mlo kwa siku utawajua tu

nani kakudanganya kula mara 3 ni ufahari au jambo zuri ?
mimi nina vijisenti ila nakula mara moja kwa siku, sio kwamba siwezi kula mara 3 ila sipendi, ndio mleta mada kaleta mada ya ajabu ila hukupaswa kusema hivo mkuu,
mfano mwingine ni michael jackson alikua na utajiri wa zaidi ya usd 1 billion lakini alikuwa hali


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti.

Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema master wa copy n paste and remix za hit song za watu. Na ndo nimepata jibu kwanini wanawake wale wali abort mimba za D, mpaka analalamika Sana mpaka kwenye nyimbo.
nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri ...kutoa mimba n ujanja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom