Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuseme ndumba zake ndizo zinawapumbaza na kushindwa kujielewa hao mabintihao mabinti wanalazimishwa? kuna asiejua uchafu wa diamond? lakini still wanajipeleka, mfano tanasha uuwi yule dada ndo alinishangaza kupita woooote, sijui alizani yy anakuja na muujiza gani masikini, yani kaingia faster na kubeba mimba fasher, hv mwanaume ana watoto watatu kwa wanawake wawili tofauti, na wote walishazalilishwa in public, ni mtu wa kukimbilia kuzaa nae kweli huyo? hapana kwa kweli, as much as daimond ananichefua ila hawa wadada wanaojipeleka kwake wananichefua zaidi
Nduma ni hela mzee baba kuwa kapuku alafu usiwe star uone Kama mademu watakufataAcha tuseme ndumba zake ndizo zinawapumbaza na kushindwa kujielewa hao mabinti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuliko goli la Samatta?Ndo trending news
Hii siyo issue ndogo ujueIna maana mkuu wa wilaya alitoa mimba?
Unauhakika na uliyoyaandika?Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti.
Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema master wa copy n paste and remix za hit song za watu. Na ndo nimepata jibu kwanini wanawake wale wali abort mimba za D, mpaka analalamika Sana mpaka kwenye nyimbo.
watu wanaopata single mlo kwa siku utawajua tu
nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri ...kutoa mimba n ujanja?Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti.
Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema master wa copy n paste and remix za hit song za watu. Na ndo nimepata jibu kwanini wanawake wale wali abort mimba za D, mpaka analalamika Sana mpaka kwenye nyimbo.
Umeona nimemshangaa kuwasupport kidoti na penny kutoa mimba, sijui wauaji hawa Mungu kawapa tens? Wema aliyoa ya Kanumba mpaka sasa anajutaAsee..! Kutoa mimba nako ni akili? Binadamu tumekuwa wanyama ivi?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uchochezi Haukubaliki kabisaIna maana mkuu wa wilaya alitoa mimba?