Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya ccm nani ana uthubutu wao kuongea haya na akabaki salama?Lisu kaamua kumwaga mboga, sasa ukimsikiliza kila atakacho zungumza ni wazi kabisa kaamua kuanika maovu yote aliyo kuwa akiyafanya mbowe kwa siri.
1. Rushwa.
2. Ubadhirifu wa fedha za chama, kupitia kukodiswa kwa chopa wakati wa kampeni.
3. Ubinafsi.
4. Udikteta.
5.
na mengine mengi.
samahani mkuu naomba ufafanue swali lakoNdani ya ccm nani ana uthubutu wao kuongea haya na akabaki salama?
Mimi nimeelewa ujinga mwingi wa Lissu kupitia Mbowe:Lisu kaamua kumwaga mboga, sasa ukimsikiliza kila atakacho zungumza ni wazi kabisa kaamua kuanika maovu yote aliyo kuwa akiyafanya mbowe kwa siri.
1. Rushwa.
2. Ubadhirifu wa fedha za chama, kupitia kukodiswa kwa chopa wakati wa kampeni.
3. Ubinafsi.
4. Udikteta.
5.
na mengine mengi.
5.Including. MSEMA KWELIMimi nimeelewa ujinga mwingi wa Lissu kupitia Mbowe:
1. Tamaa ya madaraka
2. Fujo
3. Kukusa shukrani
4. Visasi
5.
Jiandaeni kisaikolojia 😁 😁 👇 👇Lissu Kaamua Kufichua Siri za Mbowe
Na mengine mengi
- Rushwa
- Ubadhirifu wa fedha za chama, ikiwemo kukodisha chopa wakati wa kampeni
- Ubinafsi
- Udikteta
MBOWE, funika kombe MWANAHARAMU apiteLissu Kaamua Kufichua Siri za Mbowe
Na mengine mengi
- Rushwa
- Ubadhirifu wa fedha za chama, ikiwemo kukodisha chopa wakati wa kampeni
- Ubinafsi
- Udikteta
Swali lako ni jepesi sana kulijibu hata kwa mtu asiyefuatilia mambo ya siasa.Naomba mwenye uelewa anisaidie. Chama cha upinzani kinaweza kuwa kama mali ya mtu binafsi? Je akifa huyo mtu anarithisha watoto wake? Na ccm nayo ni ya watu binafsi kama ilivo chadema? Nimeuliza kwa nia njema please msinielewe vibaya
Mbowe hana Cha kupoteza si Bora afutwe huo uananchama kwani mna msaidia nini? 😁😁👇👇Kamati kuu ipi? Ijayo itaongozwa na Lisu na itamtaka Mbowe arudishe pesa zote za chama alizojilipa kama madeni fake.
Pili, arudishe pesa za mama abdul au afutwe uanachama
Tlaatlah unaitwa hapaNaomba mwenye uelewa anisaidie. Chama cha upinzani kinaweza kuwa kama mali ya mtu binafsi? Je akifa huyo mtu anarithisha watoto wake? Na ccm nayo ni ya watu binafsi kama ilivo chadema? Nimeuliza kwa nia njema please msinielewe vibaya
asante sana nakushukuru mzee mwenzangu, kutokana na majibu yako nimegundua mambo hayaSwali lako ni jepesi sana kulijibu hata kwa mtu asiyefuatilia mambo ya siasa.
1.Chama cha upinzani(Chadema) ni mali ya mtu binafsi maana yake hakuna uwazi kwenye matumizi ya ruzuku,hakuna mwongozo wa kuonesha kwamba ruzuku ikipatikana inatumikaje,kiongozi atakaa madarakani kwa miaka mingapi,hakuna taarifa za kuonyesha miradi ya chama.
Na kikiendelea kuongozwa kwa staili hiyo maana yake kiongozi akifa na chama kinakufa.
Ndio maana Zito Kabwe kwa kuliona hilo mapema akaanzisha chama chake cha ACT Wazalendo.
2.CCM sio chama cha watu binafsi kwa sababu kinaongozwa kwa ilani yaani wanachama wote wanakuwa wanajua mikakati yote ya chama ya sasa na ijayo kwa hiyo inakuwa ni muongozo wao na imeandikwa kwenye makaratasi.
Pia wanakuwa wanajua kwamba baada ya kiongozi fulani kumaliza muda fulani tutampendekeza mtu fulani na fulani wagombee kutokana na uzoefu wao kwenye chama.
Swadakta.asante sana nakushukuru mzee mwenzangu, kutokana na majibu yako nimegundua mambo haya
1. Chama pekee cha siasa tz ni ccm.
2. Vyama vingine vimesajiliwa kama vyama vya siasa ila nyuma ya pazia ni sakos za watu wanajipigia ela tu.
3. Hakuna haja ya kutumia nguvu nyingi kupigania sacos ya mtu wala kuandamana kwa ajili ya sacos yake.
4. Ndio maana mtu yeyote akitaka kugombea uenyekiti wa chadema anaishia kufukuzwa chadema na pale juu kwenye madaraja lazima akae mbowe.
Na mengine mengi
Kweli kabisa mkuu. Hujaskia hapo UG kumbe Bob Whine alikuwa pandikizi la M7 kummaliza Besigye. Vyama vya siasa haviaminiki kabisa kwanza Africa😂Vyama vya siasa hasa vya ukinzani na CCM vina mauzauza mengi sana.Viongozi wakuu wa hivyo vyama wanaviongoza kama familia zao.Bure kabisa.