Sasa nimeshajua ni kwanini Mataifa jirani kadhaa na hata yanayojitambua ya Nje yanatudharau sana Watanzania japo wenyewe twajiona Wajanja

Sasa nimeshajua ni kwanini Mataifa jirani kadhaa na hata yanayojitambua ya Nje yanatudharau sana Watanzania japo wenyewe twajiona Wajanja

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
“Mimi natamani kwenda nje, na ofcourse lazima nitaenda nje na ukiuliza Nchi gani nitakuambia tudondoke state hapo (Marekani), Madam (Rais Samia) tupeleke zetu state, mpigie simu Mzee Biden mwambie nakuja na Vijana akina Jay Z tuwakute pale tuzungumze, si umeona akina steve wanazungumza na Wakorea”

“Mimi najua itafika wakati wa kwenda Wasanii wa Bongofleva na tutafurahi sana kama walivyofurahi Wasanii wa Bongomovie, tupo kwenye foleni yeyote atakayebahatika kwenda atakuwa ametuwakilisha wote”

Nukuu zote hizi kazisema Msanii Harmonize.

Na ndiyo maana GENTAMYCINE nikiwa najua nakutana na Watu wa Mataifa yenye Werevu huwa naukana Utanzania.
 
Silly national imagine mbowe aliyepata zero shule ni mpinzani wa CCM wa muda wote na ruzuku anakula na familia halafu eti samia just mapokezi garl anakuwa rais ? Imagine tu lisu na akili zile eti awe rais ,darasa la saba kama kusukuma eti analiamsha bunge na makofi imagine sugu anakuwa mbunge kwenye eneo la wasomi kama Mbeya na anajita rais wa wanambeya huku lema mwenye tuhuma za wizi wa magari anakuwa mbunge na nabii ,hebu imagine Steve Nyerere anakuwa kiongozi wa wasanii wote hapa Tanzania imagine kitenge form two failure anakuwa icon wa habari hapa Tanzania imagine tu

USSR
 
Silly national imagine mbowe aliyepata zero shule ni mpinzani wa CCM wa muda wote na ruzuku anakula na familia halafu eti samia just mapokezi garl anakuwa rais ? Imagine tu lisu na akili zile eti awe rais ,darasa la saba kama kusukuma eti analiamsha bunge na makofi imagine sugu anakuwa mbunge kwenye eneo la wasomi kama Mbeya na anajita rais wa wanambeya huku lema mwenye tuhuma za wizi wa magari anakuwa mbunge na nabii ,hebu imagine Steve Nyerere anakuwa kiongozi wa wasanii wote hapa Tanzania imagine kitenge form two failure anakuwa icon wa habari hapa Tanzania imagine tu

USSR
😅😅😅 Aibu sana kwa kweli. Hapo kwa lissu umemuonea. Lissu huwezi mfananisha na hao wengine bhana.
 
Silly national imagine mbowe aliyepata zero shule ni mpinzani wa CCM wa muda wote na ruzuku anakula na familia halafu eti samia just mapokezi garl anakuwa rais ? Imagine tu lisu na akili zile eti awe rais ,darasa la saba kama kusukuma eti analiamsha bunge na makofi imagine sugu anakuwa mbunge kwenye eneo la wasomi kama Mbeya na anajita rais wa wanambeya huku lema mwenye tuhuma za wizi wa magari anakuwa mbunge na nabii ,hebu imagine Steve Nyerere anakuwa kiongozi wa wasanii wote hapa Tanzania imagine kitenge form two failure anakuwa icon wa habari hapa Tanzania imagine tu

USSR
Unamuwekaje Lisu kapu moja na hao uliowataja..?
 
Back
Top Bottom