Askwary Amnaay Siay
Member
- Nov 15, 2022
- 20
- 14
Waziri wa kilimo yuko sawa, mkulima mwacheni auze anavyotaka ameonewa miaka mingi kufunga mipaka kunamkosesha thamani ya mazao yake huku wafanyabiashara wakinufaika na jasho la mkulima. Kilimo kwa sasa kinalipa. Bakini na Nape na Mwigulu🤪🤪