Sasa nimetambua kuwa Chama ni watu. CCM ipo mikononi mwa watu wabaya wasiokuwa na huruma

Waziri wa kilimo yuko sawa, mkulima mwacheni auze anavyotaka ameonewa miaka mingi kufunga mipaka kunamkosesha thamani ya mazao yake huku wafanyabiashara wakinufaika na jasho la mkulima. Kilimo kwa sasa kinalipa. Bakini na Nape na Mwigulu🤪🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…