Wakuu,
Kenya is being led by a government that has run out of ideas to say the least. Jamaa walifikiri kuiba kura
nd'o kutawala nchi! Kura waliiba na sasa wameshindwa ku-govern, ishu imekua 'Raila this mara Raila that'
mtindo mmoja. Kama asemavyo
mfianchi, hii ishakua serikali ya visasi.
Muacheni Raila aitwe Raila jamani. Hamumuwezi!
Ngongo,
ukwelikitugani,
Ha ha ha,,,we we we,,,,haya ni makuu,,,eti wameshindwa kutawala,,,sababu ya Raila???????
KIVIPIIIIII??????🙂🙂 Hiki ni kichekesho tuu,,,,,,
Kwani,,kila kitu Kenya ni,,,,Ngangari,,,Kenya si,,
EGYPT,,,Jeshi,,la fanya kazi
yao hata inje ya Kenya,,yaani huko Somalia wakituliza hao vichwa ngumu.
Madaktari wako hospitalini,,polisi wako kazini,,wafanyi kazi waserikali
wana endelea na kazi zao,,na ni walimu tuu,, walio kua watumiwe na
CORD kuvuruga serikali lakini sasa wametulia na wanaomba serikali
iwahurumiwe na kuwalipa mshahara wa June ampapo serikali imedinda
na kusema kUa,,,haiwezi kuwalipa kama hawakufanya kazi,,,sasa
wacha CORD,,,iwalipe.
JIHESHIMU NA UTAHESHIMIWA
Raila Odinga alikua mfanyakazi wa serikali na kile anacho ulizwa,,,
ni kua,,
arudishe magari ya serikali aliyo kua akitumia.
Jameni,,,,hiyo ni,,,kuonewa?????????
Kwani Raila ni nani ,,,,hata kama yeye ni yesu kristo,,
si afanye vile hapa duniani kunafanywa na si vile wanafanya
huko,,,,Binguni?????
Raila Odinga si masikni,,,he is worth more than 4 Billion kshs,,magari
sita (6) ya serikali ni ya nini na yeye hayumo tena serikalini????
Si angekua mbele ya kila mtuu na kueleza faida ya kufuata
amri na sheria???????
Sheria ni kwamba,,,,mali ya serikali ni mali ya Umma na hakuna yeyote
anayeruhusiwa kucheza na mali ya umma.
UUUUUUmmmmmm,,,,eti Raila anaonewa,,,,huo ni mchezo ambao
hapa Kenya hatutoukubali ,,hata kama wewe ni nani,,hakuna
siku ile Kenya itakua mali ya mtu moja,,,Kenya si Egypt,,Rwanda
ama Uganda na wengine sitaki kutaja.
Mwisho,,,,sababu Raila alikua PM,,,kwahivyo ako,,above the law,,,
wow wow wow,,,,,asome katiba mpya,,,aliyo ipigania,,,lakini
hakuisoma,,,,ambayo ina sema,,,
Hakunayeyote anbaye ako above the law,,,
Raila Odinga amekua kero kubwa kwa wasafiri na waendeshaji
magari,,jijini Nairobi.
Raila Odinga ana ngojea saile iko jamm barabarani,,,dipo apitie
sehemu ambazo hazifai,,hapa Kenya,,
we keep left on the road,,
yeye hajui hayo,,ana
keep right na kutatiza kila mtu,,sababu,,,
Alikua Kenyan PM,,,,so what??????????Upuzi wa hali ya chini.
Wacheni mchezo,,,,huyu kweli kini kiongozi?????
Huyu mzee ana shida kubwa na ana hitaji mkusanyiko
wa usaidizi wa madaktari,,,,,wa kienyeji na wale wengine
wa kiongozwa na madaktari wa,,,,
,,,,,,,,,,,,,,,,,,CUBA.:faint: