Sasa Rasmi: CAF yathibitisha Tanzania kupeleka timu 4 mashindano ya vilabu barani Africa 2019/2020

Uko sawa mkuu.. Ila binafsi ngoja iwe hivyo ili timu zipambane kuisaka BIG 4.
AU hata wanaoingia fainali ya FA wajue hakuna mshindwa bora bali mshindi tu ndio anaenda CAF shirikisho.
 
Bila point 3 za Yanga , Simba angecheza MASHINDANO YA CAF sababu ni bingwa wa ligi.. Je bila point 15 za Simba , Yanga ingecheza Mashindano ya CAF?
Kwani miaka mingine huwa tunacheza kwa sababu ya Simba kuingiza points 15?! Hoja ni kwamba, ingawaje Simba ndie amechangia points nyingi, lakini points hizo zisingekuwa na msaada kwa Yanga endapo wenyewe tusingechangia kwenye misimu miwili iliyopit!
 
Point 3 ushiriki nini?.. mwaka jana Yanga alishiriki?.. (hapana) kwa nini?
Acha uchawi.
We unachekesha sasa! Hivi timu kutoshiriki kwenye baadhi ya misimu ni jambo jipya kwako? Mbona nyie watu mnaongea as if soka mmeijulia ukubwani?!
 
Mikia msikieni Mzee wenu Kilomoni. Hati ya majengo ya Simba hatoi kwa Mhindi wenu.
Naye Mhindi bila kumkabidhi mali za club hatoi pesa ya usajili.
Nawaona wachezaji wa Simba wakienda Namungo.
Kwa hiyo Ajibu anataka kwenda Namungo?.. Akilimali amewashinda.
SIMBA TAIFA KUBWA
 
Mkuu naona unarukaruka unakimbia hoja...wewe mwenyewe umesema miaka do not determine weight ya points??mimi nikakuonesha kuwa miaka ina determine weight ya points...so unachofanya ni kurukaruka kwa sababu miaka ina determine weight ya points na kwa mfano timu za nchi mbili tofauti zikifanikiwa kuingia let say hatua ya robo fainali katika miaka tofauti ile timu ya nchi iliyoingia recent year ndo inakuwa na points nyingi....


1..In 2012, Ivory Coast received two entries in each tournament, while Angola and Zambia only received one entry in each.....Hapa kama timu tatu zilifungana point jibu hoja yangu sasa kwanini ivory cost waliingiza timu mbili mbili champion na confederation alafu angola wakaingiza timu mojamoja na zambia wakaingiza timu mojamoja??


2....In 2013, Ivory Coast received two entries in each tournament, while Libya only received one entry in each......na hapa jibu hoja kama ivory cost na libya walifungana point kwanini ivory cost waliingiza timu mbilimbili kwenye champion na confederation na libya wakaingiza timu mojamoja....yaani nijibu kwanini nchi mbili zilizofungana point alafu nchi moja inapata nafasi ya kuingiza timu mbilimbili na nyingine inapata nafasi ya kuingiza timu moja????Vigezo gani vilitumika moja ikaingiza timu mbilimbili na nyingine mojamoja wakati zimefungana point??nijibu hapa
 
Kwani miaka mingine huwa tunacheza kwa sababu ya Simba kuingiza points 15?! Hoja ni kwamba, ingawaje Simba ndie amechangia points nyingi, lakini points hizo zisingekuwa na msaada kwa Yanga endapo wenyewe tusingechangia kwenye misimu miwili iliyopit!
Huwa mnacheza mkiwa bingwa wa ligi... Je leo nyie ni mabingwa wa ligi?.. Point zenu 3 ziliwapeleka wapi msimu jana?
Simba Taifa kubwa mwambie na Mwanao ajue kabisa.
 
We unachekesha sasa! Hivi timu kutoshiriki kwenye baadhi ya misimu ni jambo jipya kwako? Mbona nyie watu mnaongea as if soka mmeijulia ukubwani?!
Nyie ndio hamjui 15 na 3 na kasaidia mwingine... mna uchawi wa kuzaliwa nao nyie.
Tushawazoea... Tugange yajayo soka letu lipae juu.
 
Ila mnyama ni nyoko msimu mmoko pointi 15 ndala miaka mitano pointi 3 alafu anajiita wakimataifa shame!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…