laurent Msembeyu
Senior Member
- Oct 5, 2015
- 121
- 101
Mpira wetu, kabumbu, soccer la Tanzania linachungulia kaburi kwa sababu zifuatazo
1. Kwa muda mrefu tumeshauriwa kuendesha vilabu vyetu hasa vikubwa vya Simba na Yanga kibiashara tumekuwa wagumu kweli kukubali ushauri huo, bado vilabu vyetu vinategemea wafadhili kidogo AZAM wamejikongoja kuendesha soccer la kibiashara.
2. Utawala wa Magufuli umewabana hao wafadhili walipe kodi kumbe walikuwa wanakwepa kodi kwa kisingizio cha kufadhili timu
3 . Waziri aliyeteuliwa kusimamia michezo ni kimeo hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote
Changanya hizo sababu utaona kwamba matumaini ya Soccar letu kukua ni hakuna kabisa, tutaendelea kuangalia nchi za wenzetu
1. Kwa muda mrefu tumeshauriwa kuendesha vilabu vyetu hasa vikubwa vya Simba na Yanga kibiashara tumekuwa wagumu kweli kukubali ushauri huo, bado vilabu vyetu vinategemea wafadhili kidogo AZAM wamejikongoja kuendesha soccer la kibiashara.
2. Utawala wa Magufuli umewabana hao wafadhili walipe kodi kumbe walikuwa wanakwepa kodi kwa kisingizio cha kufadhili timu
3 . Waziri aliyeteuliwa kusimamia michezo ni kimeo hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote
Changanya hizo sababu utaona kwamba matumaini ya Soccar letu kukua ni hakuna kabisa, tutaendelea kuangalia nchi za wenzetu