Ahsante sana mkuu. Nimefurahishwa na busara zako na uvumilivu ktk kujibu hoja. Nina imani kufanya biashara nawewe sio kitu kigumu kutokana na jinsi unavyoweza kuwasiliana na watu. Mawasiliano mazuri ni muhimu sana ktk kufanikisha mradi wowote ule wenye kushirikisha wadau.Huwa ninashauri wawekezaji waingie mkataba wa kisheria na sisi kupitia wanasheria wao ili wawe na amani. Sisi mikataba yetu ni local.
unaamanisha ninyi wenyewe ndiyo wanunuzi harafu upande mwingine ni wachimbaji wa mchanga huo?Market ni yetu wenyewe. Tuna eka za machimbo ya mchanga zisizopungua 15 chini ya usimamizi wetu. Kila eka ni average ya mwezi mmoja kuimaliza.
unaamanisha ninyi wenyewe ndiyo wanunuzi harafu upande mwingine ni wachimbaji wa mchanga huo?
Hafu unajua nakufananishaga na kuunganisha dot mtoa post nawewe. Nahisi ni mtu mmoja
Sisi tuna machimbo ya mchanga, wanunuzi wa mchanga ni wenye magari ya kubeba mchanga.
Shutuma nzito sana hiyo. Kipi kilichokufanya uashirie hayo?Mkuu nilitaka kuwekeza hata kidogo tuu kama 2 millions, lakini kuna udini na ujinga mkubwa, sasa ninapita tu. Try to be neutral to get serious people.
Shutuma nzito sana hiyo. Kipi kilichokufanya uashirie hayo?
FaizaFoxy, she seems to be in heart of all your decision making and central to all your activities, your spokeswoman bigging up your cause. To some of us she our worst nightmare to be anywhere near her or our money to be controlled by this woman.
FaizaFoxy, she seems to be in heart of all your decision making and central to all your activities, your spokeswoman bigging up your cause. To some of us she our worst nightmare to be anywhere near her or our money to be controlled by this woman.
Mi nimeona ni elfu 2000 kwa siku
ikanikatisha tamaa
Huna wewe wacha porojo.
Imenibidi nicheke bila kupenda. Unisamehe sana kwa hilo.
Ninakuahidi sitazungumzia individuals.
Ninapenda tu uelewe, nia na dhamira na malengo ya haya uyaonayo ni kubadilisha taswira ya uwekezaji kwa kuielimisha jamii kuwa, yeyote anaweza kuwa muwekezaji na tusiogope neno uwekezaji.
Toka tulipoanzisha mpango huu wa uwekezaji tumeweza kujumuika na kuchanga pesa zilizotuwezesha kuwekeza kwenye miradi minne na huu wa excavator ni muendelezo wa tulipoanzia.
Tuliochangia miradi ni Watanzania wa aina zote, wazee, vijana, wakina mama, wakina baba, bila kujali itikadi zetu za kidini wala kisiasa. Wa ndani na nje ya Tanzania na kutoka mikoa tofauti wa imani tofauti.
Napenda ufahamu kuwa tuna whatsapp group zetu zinazotuunganisha wote tuliokubaliana kuunda SACCOS. Kwenye group hizo ni marufuku kuongelea dini na siasa.
Karibu sana ujiunge nasi kwa faida ya wengi.
Ahsante sana.
The things is your are full of shit whenever you offer your testimony you hurts these good people. You are toxic, silly, stupid and you lack any sort of respect, decency or good manners. I wanted to know if you are involved in decision making of this project. If you were involved i would not invest, but since you are not part of the group decision making i might consider investing in this project.
Wewe Kingereza chenyewe cha manati. Uwekeze nini wewe wenye kuwekeza wanasema? Unanshangaza!
Nilichokukera ni kipi haswa nikielewe, maana naona unazidi kupayuka tu.
Mind smelter....Mzee Abdul+FaizaFox+Bi Zainab Tamim-One face in three dimensional
High risk of losing ,higher return but
DONT INVEST MONEY ,U NEVER AFFORD TO LOSE
Hamna tatizo Mr Abdul, I am glad i made you laugh. may be i can find another career being comedian.
I think what you have here is wonderful thing, it should be supported, it is through people like you and your your wife we can help our people. But when you want to grow and become big you need to put serious people testimonies. Don't just put FaizaFoxy she not known as full shilling in JF. Her testimony hurts you cause rather than advancing it.
Where are other investors testimonies? Is she the only one you could find taking into account of all other people who already have invest in your previous project?