Sasa tumewaletea uwekezaji mpya unaolipa kihalali

Sasa tumewaletea uwekezaji mpya unaolipa kihalali

Mind smelter....Mzee Abdul+FaizaFox+Bi Zainab Tamim-One face in three dimensional


High risk of losing ,higher return but


DONT INVEST MONEY ,U NEVER AFFORD TO LOSE

Umenikumbusha western movie moja ya zamani sana, The Good the bad and the ugly.
 
Mkuu nimependa sana hoja zako. Kwanza naomba kuweka maslahi yangu binafsi kwenye hii miradi, mimi ni muwekezaji na mnufaikaji wa mradi wa machimbo ya mchanga unaoendelea huko Misugusugu Kibaha. Kwakweli huyu Mzee Abdul na Mke wake ni wastaarabu na waungwana mno. Nimefika Kibaha licha ya kutuma pesa hata kabla ya kuonana nao.

Alichosema ni kweli kulikua na uchelewaji kutokana na mvua lakini alitoa habari na maendeleo kila mara kutujulisha tatizo liko wapi. Kama lugha za FaizaFoxy hazijakufurahisha kwa namna moja ama nyingine, naomba umuwie radhi kama binadam lakini usiwaelekezee tuhuma hawa wazee.

Mzee Abdul ni kweli kazi mnayofanya ni nzuri sana. Ningependa kuungana na Shark pamoja na Titicomb kujua hali ya biashara (soko la mchanga) likoje? Kuna miradi mikubwa ya ujenzi inaendelea kipindi hichi? Nauliza hivyo kwa sababu lengo sio mimi tu kama muwekezaji kufaidika, ni vizuri na nyie mnaoendesha na kusimamia miradi mfaidike. Kama shughuli za ujenzi zinadorora inamaana kutakua na shida kidogo.

Vinginevyo niwatakie kila la kheri na baraka kwenye shughuli zenu.

N.B vilevile mimi ni miongoni mwa wanachama wa Vitendo Saccoss inayoratibiwa na Mzee Abdul.

Asante sana kwa maswali mazuri sana.

Miradi mikubwa ambayo inahitaji mchanga kwa wingi sana ipo. Wiki iliyopita pekee nimetembelewa na contractors watatu tafauti.

Mmoja wa mwakilishi wa Waturuki wa reli. Wawili Wachina wanajenga viwanda vipya si mbali na hapa kwetu.

Licha ya hao kuna mradi mkubwa sana wa land reclamation umeanza Zanzibar nao wanahitaji mchanga kwa wingi sana.

Demand ya mchanga ipo juu sana huku kwetu kwa kuwa machimbo yote ya karibu na mjini yamezuiwa.
 
Asante sana kwa maswali mazuri sana.

Miradi mikubwa ambayo inahitaji mchanga kwa wingi sana ipo. Wiki iliyopita pekee nimetembelewa na contractors watatu tafauti.

Mmoja wa mwakilishi wa Waturuki wa reli. Wawili Wachina wanajenga viwanda vipya si mbali na hapa kwetu.

Licha ya hao kuna mradi mkubwa sana wa land reclamation umeanza Zanzibar nao wanahitaji mchanga kwa wingi sana.

Demand ya mchanga ipo juu sana huku kwetu kwa kuwa machimbo yote ya karibu na mjini yamezuiwa.

Shukrani kwa majibu mazuri. Ubarikiwe sana
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa mwenzetu mmoja alietusoma hapa JF.

Huyo ndugu yetu ni Diaspora, baada ya kutusoma kamtuma ndugu yake jana aje kujionea shughuli zetu. Bahati nzuri akanikuta kwani time aliyokuja nami nilikua najitayarisha kwenda mjini kuzika. Nikampa kijana wetu ampeleke site ya machimbo yetu na akajionea mwenyewe na akaiona na excavator tunaoiongelea hapa. Kijana aliempeleka site anasema akapiga na picha nyingi tu.

Natamani ingewezekana yule kijana alieagizwa kuja kujionea angeleta mrejesho hapa.

Pia nimependa sana huyo ndugu yetu kwa uamuzi alioufanya wa kuja kujionea mwenyewe.

Asante sana. Njoo tuwekeze kwa faida ya wengi.
 
Hamna tatizo Mr Abdul, I am glad i made you laugh. may be i can find another career being comedian.

I think what you have here is wonderful thing, it should be supported, it is through people like you and your your wife we can help our people. But when you want to grow and become big you need to put serious people testimonies. Don't just put FaizaFoxy she not known as full shilling in JF. Her testimony hurts you cause rather than advancing it.

Where are other investors testimonies? Is she the only one you could find taking into account of all other people who already have invest in your previous project?
Tuko pamoja.
 
Mkuu nimependa sana hoja zako. Kwanza naomba kuweka maslahi yangu binafsi kwenye hii miradi, mimi ni muwekezaji na mnufaikaji wa mradi wa machimbo ya mchanga unaoendelea huko Misugusugu Kibaha. Kwakweli huyu Mzee Abdul na Mke wake ni wastaarabu na waungwana mno. Nimefika Kibaha licha ya kutuma pesa hata kabla ya kuonana nao.

Alichosema ni kweli kulikua na uchelewaji kutokana na mvua lakini alitoa habari na maendeleo kila mara kutujulisha tatizo liko wapi. Kama lugha za FaizaFoxy hazijakufurahisha kwa namna moja ama nyingine, naomba umuwie radhi kama binadam lakini usiwaelekezee tuhuma hawa wazee.

Mzee Abdul ni kweli kazi mnayofanya ni nzuri sana. Ningependa kuungana na Shark pamoja na Titicomb kujua hali ya biashara (soko la mchanga) likoje? Kuna miradi mikubwa ya ujenzi inaendelea kipindi hichi? Nauliza hivyo kwa sababu lengo sio mimi tu kama muwekezaji kufaidika, ni vizuri na nyie mnaoendesha na kusimamia miradi mfaidike. Kama shughuli za ujenzi zinadorora inamaana kutakua na shida kidogo.

Vinginevyo niwatakie kila la kheri na baraka kwenye shughuli zenu.

N.B vilevile mimi ni miongoni mwa wanachama wa Vitendo Saccoss inayoratibiwa na Mzee Abdul.

Ok, Bro, wishing you, all investors and Vitendo Saccos well and a lot of success in this project and future projects.
 
Ok Bro, wishing you, all investors and Vitendo Saccoss well and a lot of success in this project and future projects.

Shukrani sana kaka. Kwa sasa nanufaika na mmojawapo ya miradi ya hawa Wazee.

Ni mfumo na mawazo mazuri yanayoweza kusaidia makundi mbalimbali kujikwamua kiuchumi.
 

Attachments

  • 20170921_163445.png
    20170921_163445.png
    139.8 KB · Views: 76
Habari za saa hizi ndugu zangu, mimi naitwa Abdul Ghafur. Maarufu kama Babu Abdul au Mzee Abdul.

Huwa napitia hizi nyuzi na mara zingine kujibu kupitia anuani ya mke wangu Bi Zainab Tamim.

Nimefahamishwa kuwa kuingia humu na kutumia ID ya mtu mwingine ni makosa (ingawa ni mke wangu), nimeona ni heri nijiunge rasmi na kuja kujaribu kuondosha utata unaojitokeza.

Hii miradi yote anayoitangaza Bi Zainab Tamim humu, mimi ndie msimamizi mkuu na ndie mwenye kuifahamu vilivyo.

Naomba mwenye swali lolote aulize na nitajaribu kutoa majibu sahihi kadiri ya uwezo wangu kwa faida ya wengi.

Asanteni sana.
Ofisi zenu zipo wapi? Pili, Mmesajiriwa kwa kazi hiyo? JE mradi unahusika na NINI? Nikitoa hiyo laki tano Mimi nanufaikaje? KUSHIRIKI Wangu ni NINI au nafasi Yangu ni IPI? Ni shughuli gani inayofanyika?
 
Ofisi zenu zipo wapi? Pili, Mmesajiriwa kwa kazi hiyo? JE mradi unahusika na NINI? Nikitoa hiyo laki tano Mimi nanufaikaje? KUSHIRIKI Wangu ni NINI au nafasi Yangu ni IPI? Ni shughuli gani inayofanyika?

1) Ofisi zetu ni site ya machimbo ilipo na nyumbani kwangu. Misugusugu, Kibaha mtaa wa Vitendo.

2) Tumesajiliwa kuchimba michanga kihalali kabisa na mradi huu tunaoutangaza hapa, excavator ina usajili wote kihalali.
3) Ninakuomba rudia kusoma post namba moja mradi umeelezewa hapo.
4) ukitoa laki tano unakuwa mwekezaji uliewekeza kwenye mradi na utafaidika kwa faida itaopatikana kwa uwekezaji wako kama hivi...

500,000 (mtaji) X 1.5 (150%) = 750,000 (faida)...

500,000 mtaji + 750,000 faida = 1,250,000...

1,250,000 / 365 (siku za kazi) = 3,425 kwa siku...

Utachagua zilipwe kila wiki 3,425 X 7 = 23,975 au kila mwezi 3425 X 30 = 102,750

5) Shughuli zitakazofanyika ni hio excavator tunaoiongelea kupakilia mchanga kwenye magari ya mchanga.
 
Back
Top Bottom