Sasa tunaitaka Katiba iwe kwa mchana na ama usiku!

Sasa tunaitaka Katiba iwe kwa mchana na ama usiku!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Tunaitaka katiba itakayoondoa ukiritimba na udikiteta wa viongozi

Tunaitaka katiba ambayo itakuwa ni ya wananchi na siyo kuwa ya viongozi

Tunataka katiba itakayoondoa udikiteta wa viongozi kupola mali zetu kwa kutumia mamlaka yao

Tunataka katiba itayowapa wananchi mamlaka ya kuwawajibisha viongozi madikiteta

Tunataka katiba itakayozipa nguvu mihimili yetu na siyo mhimili mmoja kuwa juu ya mihimili mingine!

Tunaitaka katiba itakayokuwa na meno dhidi ya mafisadi na kuondoa kinga ya viongozi kutokuwajibishwa pindi wanapotenda uhaini

Tumechezewa na wakoloni, tunachezewa tena na wajomba wa wakoloni?
 
Tunaitaka katiba itakayoondoa ukiritimba na udikiteta wa viongozi

Tunaitaka katiba ambayo itakuwa ni ya wananchi na siyo kuwa ya viongozi

Tunataka katiba itakayoondoa udikiteta wa viongozi kupola mali zetu kwa kutumia mamlaka yao

Tunataka katiba itayowapa wananchi mamlaka ya kuwawajibisha viongozi madikiteta

Tunataka katiba itakayozipa nguvu mihimili yetu na siyo mhimili mmoja kuwa juu ya mihimili mingine!

Tunaitaka katiba itakayokuwa na meno dhidi ya mafisadi na kuondoa kinga ya viongozi kutokuwajibishwa pindi wanapotenda uhaini

Tumechezewa na wakoloni, tunachezewa tena na wajomba wa wakoloni?
Kabisa!
 
Back
Top Bottom