Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
Mkuu wangu kasheshe.
Kushinda kwa kishindo kwa ccm in the light ya upotevu wa pesa kule BoT kwa sasa uko tainted sana. Ni vigumu sana kusema kwa hakika kama ccm ilishinda kwa kishindo.
Ndugu wakike
Umenikumbusha manen ya JK mwenyewe siku wanatangaza matokeo na kuambiwa kashida kwa asilimia sijui ngapi wenyewe huwa wanaitaja lakini yeye akasema haamini kwamba alipata kura hizo maana aliona uhalisia wa Kampeni .Nakubaliana nawe kwamba ni EPA iliongea si kura za 80%