Uchaguzi 2020 Sasa tuwasute wahariri wa magazeti ya Kitanzania

Uchaguzi 2020 Sasa tuwasute wahariri wa magazeti ya Kitanzania

Magufuli akiwa na kampeni wanachapisha picha kubwa ya kampeni zake kwa juu kisha chini wanaweka vipicha vidogo vya wapinzani. Magufuli akipumzika kampeni hawaweki picha ya mgombea anayetoa upinzani mkubwa kwake wala habari zake hazipewi kabisa kipaumbele.

Nyie wahariri, jana na leo Tundu Lissu alikuwa Geita na wote hakuna aliyethubutu kuchapisha habari zake kama habari kubwa wala kuweka picha ya mkutano wake mbele! Aibu kwenu na uhuru wenu. Yani kwa siku mbili mfululizo habari ya Msajili na ACT ndiyo habari kubwa.

Sasa tumeshawagundua kuwa Hassan Abbas amewapa maagizo maalum. Tutaanzisha harakati maalum kwa ajili yenu maana inaonekana dhahiri mumeuza uhuru wenu!

Aibu! Aibu! Aibu!

Hatujawahi kushuhudia ushenzi huu hapo kabla!
Sihao tu mimi huwanapenda kuangalia taarifa yahabari kupitia u tv jana najuzi hawakuweka taarifa rais mtarajiwa huwenda kunamtu mpaka awaruhusu nimeona hata kwa maalim sef wanamuonyesha yeye tena pasport size anaoongea nao nikamawanachelewa kuwaonyesha nikama ionekane anaongea pekeyake kwakweli kunadalili zakuipasua hii nchi
 
"Endeleeni kutuacha peke yetu mkiamini hili balaa ni letu peke yetu, wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
 
Mnaweweseka sana mlitaka wachapishe hizo habari zenu za kuungaunga ! Kwanza nkwanza nyie si mna magazeti yenu.
 
Magufuli akiwa na kampeni wanachapisha picha kubwa ya kampeni zake kwa juu kisha chini wanaweka vipicha vidogo vya wapinzani. Magufuli akipumzika kampeni hawaweki picha ya mgombea anayetoa upinzani mkubwa kwake wala habari zake hazipewi kabisa kipaumbele.

Nyie wahariri, jana na leo Tundu Lissu alikuwa Geita na wote hakuna aliyethubutu kuchapisha habari zake kama habari kubwa wala kuweka picha ya mkutano wake mbele! Aibu kwenu na uhuru wenu. Yani kwa siku mbili mfululizo habari ya Msajili na ACT ndiyo habari kubwa.

Sasa tumeshawagundua kuwa Hassan Abbas amewapa maagizo maalum. Tutaanzisha harakati maalum kwa ajili yenu maana inaonekana dhahiri mumeuza uhuru wenu!

Aibu! Aibu! Aibu!

Hatujawahi kushuhudia ushenzi huu hapo kabla!
Boss wewe pekee ndio bado hujaanzisha harakati...siku hizi habari ya mjini kwamba hatununui magazeti..tumegundua habari zipo mitandaoni hata baadhi ta TV hatuangalii kabisa na tutaendelea hivi hivi hata baada ya uchaguzi tuone hiyo mishahara yao watalipanaje...
 
WA
Hamjawahi kuomba msamaha wa wazi kama mlivyowafukuza TBC kwa uwazi,
Ganyeni hivyo ili TV na magazeti yawarudie.
Wamevikosea nini vyombo vya habari,labda wewe tuambie huenda unajua,hapa tunazungumzia wapinzani wote sio CHADEMA
 
Mkuu, waache hizo kazi wakafanye nyingine ili familia ziishi.

Sio kuleta kile wanachojisikia wao hata kama iwe kwa maagizo..
Mkuu hivi unajua kazi zimekuwa za shida sana? Mtu aache kazi usawa huu kweli?
 
Back
Top Bottom