X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
@joycekiria yupo wapi aje atuteee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@joycekiria yupo wapi aje atuteee
🤣🤣🤣🤣🤓Wengi tu
Yupo vizuri😅🤣🤣🤣🤣 huyu mke nimemuelewa
Nikiwa nae huyo mwizi haingii kwangu🤣🤣 na akija ingia namwita bondi awa Tarime tu🤣🤣Hili iweje? Unataka kibondo au?
Sana....🤣🤣Yupo vizuri😅
Sasa nimewaelewa Wanawake wa Tarime
Anatuwakilisha vyema.Sana....🤣🤣
Kawakilisha vema, alivomuangusha chini....angekanyaga pmb sasa amalize pambanoAnatuwakilisha vyema.
Mleta uzi utafikiri umeoteam nimeingia hapa Tarime mjini jana kwa hali hii Mungu anisaidie niamke salama asubuhi nidandie mabasi ya .Mwanza nnaona usalama mdogo
We unapiga na unashika kalio. File lako ninalo🤣 hizo nguvu nizitoe wapi mkuu
😂Nipo hapa kusoma comment za Half american tu
😂😂😂😂😂😂 Hovyo sana kijana
Daaaah hii picha hiiii
Naona bado anasotea mahabusu 😂Daaaah hii picha hiiii
Yaani namkumbuka Future B bana 😂😂😂😂🙌🙌🙌
Vijana wali mtibua na yeye akajaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Naona bado anasotea mahabusu 😂
Ngumi zinakata kona aiiseeSijawahi kupigana wala kupiga mwanamke tangu ujana mpaka uzee unanianza ila nimekuwa nikiiamini mwanamke kwangu ni kiumbe dhaifu sana kupigana nacho
Kwanza huwa sioni pa kupiga
Mods tunyoosheeni huyo 😂Vijana wali mtibua na yeye akajaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂