X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
@joycekiria yupo wapi aje atuteee
π€£π€£π€£π€£π€Wengi tu
Yupo vizuriππ€£π€£π€£π€£ huyu mke nimemuelewa
Nikiwa nae huyo mwizi haingii kwanguπ€£π€£ na akija ingia namwita bondi awa Tarime tuπ€£π€£Hili iweje? Unataka kibondo au?
Sana....π€£π€£Yupo vizuriπ
Sasa nimewaelewa Wanawake wa Tarime
Anatuwakilisha vyema.Sana....π€£π€£
Kawakilisha vema, alivomuangusha chini....angekanyaga pmb sasa amalize pambanoAnatuwakilisha vyema.
Mleta uzi utafikiri umeoteam nimeingia hapa Tarime mjini jana kwa hali hii Mungu anisaidie niamke salama asubuhi nidandie mabasi ya .Mwanza nnaona usalama mdogo
We unapiga na unashika kalio. File lako ninaloπ€£ hizo nguvu nizitoe wapi mkuu
πNipo hapa kusoma comment za Half american tu
ππππππ Hovyo sana kijana
Daaaah hii picha hiiii
Naona bado anasotea mahabusu πDaaaah hii picha hiiii
Yaani namkumbuka Future B bana πππππππ
Vijana wali mtibua na yeye akajaa ππππππππππNaona bado anasotea mahabusu π
Ngumi zinakata kona aiiseeSijawahi kupigana wala kupiga mwanamke tangu ujana mpaka uzee unanianza ila nimekuwa nikiiamini mwanamke kwangu ni kiumbe dhaifu sana kupigana nacho
Kwanza huwa sioni pa kupiga
Mods tunyoosheeni huyo πVijana wali mtibua na yeye akajaa ππππππππππ