Goodluckmkali
Member
- Nov 16, 2018
- 9
- 1
Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi na kurejesha kidogokidogo mahali popote na wakati wowote.
Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu vifuatavyo:-
(a)uwe na kitambulisho, eidha cha kupigia kura, cha taifa au leseni ya udereva.
(b)laini ya mtandao wa tigo au vodacom uliyosajili kwa kitambulisho chako.
(c)kodi ya mualiko ambayo ni FQNJLB ambayo utaijaza sehemu ya promosheni kisha nawe kupata kodi yako maalum itakayokupa bonasi ya Tsh.10,000/= pindi uliyemualika atakapolipa mkopo wake wa kwanza.
JINSI YA KUOMBA MKOPO
1.Hatua ya kwanza, download Application ya branch kwenye simu yako.
Baada ya kudownload ifungue application yako ya branch na kisha:-
(a)chagua lugha.
(b)chagua ama sajili akaunti mpya.
(c)chagua sajili na nambari ya simu au facebook, kama ukichagua facebook hakikisha jina lako la facebook linaendana na jina la kitambulisho chako.
2.Hatua ya pili, jaza namba yako ya simu eidha ya Tigo au vodacom.
3.Hatua ya tatu, jaza taarifa zako chache zinazohitajika.
4.Hatua ya nne, jaza namba yako ya simu utakayopokelea mkopo wako.
5.Hatua ya tano, chagua kiasi cha mkopo unachotaka kukopa na muda wa marejesho eidha kwa kila wiki au mwezi kisha bonyeza omba mkopo huu
6.Hatua ya sita, thibitisha namba yako ya tigo-pesa
ama m-pesa.
7.Hatua ya saba, baada ya kuomba mkopo bonyeza Dhibiti akaunti yako.
8.Hatua ya nane, kisha hariri sehemu ya promosheni ili kujaza kodi ya mualiko ya rafiki yako au kodi maalumu ya kampuni ili kupata bonasi ya pesa taslimu.
9.Hatua ya tisa, jaza kodi ya mualiko ya ya rafiki yako au jaza kodi maalum ya kampuni ambayo ni FQNJLB kisha bonyeza "Tumia kodi maalum" ili uweze kupata bonasi ya Tsh.10,000/= pindi utakapolipa mkopo wako wa kwanza kwa wakati.
10.Hatua ya kumi, baada ya maombi yako kupitiwa ndani ya dakika chache utapokea mkopo wako kwenye akaunti yako ya Tigo-pesa ama M-Pesa.
Baada ya kupokea mkopo wako ingia kwenye akaunti yako kuthibitisha kupokea mkopo wako kwenye akaunti yako ya Tigo-pesa ama M-pesa.
JINSI YA KUFANYA MAREJESHO
Ili kupata taarifa ya marejesho yako, bonyeza kwenye menu upande wa juu kushoto na uchague "mkopo wangu" kisha utaona tarehe za marejesho yako na kiasi unachotakiwa kurejesha kwenye tarehe husika.
Vodacom
Ingia kwenye menu yako ya m-pesa na uchague "lipa kwa m-pesa" na ujaze namba ya kampuni ambayo ni 256699 na namba ya kumbukumbu ni namba yako ya simu uliyojisajilia branch.
Tigo
Ingia kwenye menu yako ya tigo pesa na uchague "lipa bili" na ujaze namba ya kampuni ambayo ni 256699 na namba ya kumbukumbu ni namba yako ya simu uliyojisajilia branch.
Kisha ingia kwenye akaunti yako kuthibitisha kuwa marejesho yako yamepokelewa.
Ichukulie Branch Kuwa Tawi La Bank Kiganjani Mwako
Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu vifuatavyo:-
(a)uwe na kitambulisho, eidha cha kupigia kura, cha taifa au leseni ya udereva.
(b)laini ya mtandao wa tigo au vodacom uliyosajili kwa kitambulisho chako.
(c)kodi ya mualiko ambayo ni FQNJLB ambayo utaijaza sehemu ya promosheni kisha nawe kupata kodi yako maalum itakayokupa bonasi ya Tsh.10,000/= pindi uliyemualika atakapolipa mkopo wake wa kwanza.
JINSI YA KUOMBA MKOPO
1.Hatua ya kwanza, download Application ya branch kwenye simu yako.
Baada ya kudownload ifungue application yako ya branch na kisha:-
(a)chagua lugha.
(b)chagua ama sajili akaunti mpya.
(c)chagua sajili na nambari ya simu au facebook, kama ukichagua facebook hakikisha jina lako la facebook linaendana na jina la kitambulisho chako.
2.Hatua ya pili, jaza namba yako ya simu eidha ya Tigo au vodacom.
3.Hatua ya tatu, jaza taarifa zako chache zinazohitajika.
4.Hatua ya nne, jaza namba yako ya simu utakayopokelea mkopo wako.
5.Hatua ya tano, chagua kiasi cha mkopo unachotaka kukopa na muda wa marejesho eidha kwa kila wiki au mwezi kisha bonyeza omba mkopo huu
6.Hatua ya sita, thibitisha namba yako ya tigo-pesa
ama m-pesa.
7.Hatua ya saba, baada ya kuomba mkopo bonyeza Dhibiti akaunti yako.
8.Hatua ya nane, kisha hariri sehemu ya promosheni ili kujaza kodi ya mualiko ya rafiki yako au kodi maalumu ya kampuni ili kupata bonasi ya pesa taslimu.
9.Hatua ya tisa, jaza kodi ya mualiko ya ya rafiki yako au jaza kodi maalum ya kampuni ambayo ni FQNJLB kisha bonyeza "Tumia kodi maalum" ili uweze kupata bonasi ya Tsh.10,000/= pindi utakapolipa mkopo wako wa kwanza kwa wakati.
10.Hatua ya kumi, baada ya maombi yako kupitiwa ndani ya dakika chache utapokea mkopo wako kwenye akaunti yako ya Tigo-pesa ama M-Pesa.
Baada ya kupokea mkopo wako ingia kwenye akaunti yako kuthibitisha kupokea mkopo wako kwenye akaunti yako ya Tigo-pesa ama M-pesa.
JINSI YA KUFANYA MAREJESHO
Ili kupata taarifa ya marejesho yako, bonyeza kwenye menu upande wa juu kushoto na uchague "mkopo wangu" kisha utaona tarehe za marejesho yako na kiasi unachotakiwa kurejesha kwenye tarehe husika.
Vodacom
Ingia kwenye menu yako ya m-pesa na uchague "lipa kwa m-pesa" na ujaze namba ya kampuni ambayo ni 256699 na namba ya kumbukumbu ni namba yako ya simu uliyojisajilia branch.
Tigo
Ingia kwenye menu yako ya tigo pesa na uchague "lipa bili" na ujaze namba ya kampuni ambayo ni 256699 na namba ya kumbukumbu ni namba yako ya simu uliyojisajilia branch.
Kisha ingia kwenye akaunti yako kuthibitisha kuwa marejesho yako yamepokelewa.
Ichukulie Branch Kuwa Tawi La Bank Kiganjani Mwako