Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi

Hao jamaa wakikudai hata 20,000 utajuta,,,,tena hawawezi kukukopesha pesa zaidi ya 20,000,,KOPA UJUTE..
 
Nikikopa elfu 20 nakurejesha kwa muda mtanipandishia dau la shilingi ngapi mkopo wa mara ya pili Tala?
 
Branch hawa hawa wasumbufu hawa jamaa marejesho kwa week kila siku text nilikopa mara moja tu text zao za kila siku zimenikimbiza
 
Hii kwa mwezi wameanza lini
 
Ukikopa ishirini mwezi unaofuata wanakupa ngapi baada ya mrejesho ya mwanzo
Wanakupa elf 20 hiyohiyo mm sijakopa tena sababu ya usumbufu wao kila siku kukukumbusha marejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…