Sasa unaweza kufuga Nyuki nyumbani kwako

Ndiyo ni kweli kuna Nyuki an mbili Kama ulivyozitaja.

Nyuki wakubwa ndiyo wazalishaji wakubwa wa asali kuliko wadogo. Lakini Nyuki wadogo (wasiouma) wanachangamoto kubwa kufugika na uzalishaji wake asali ni kidogo Sana hii ndiyo sababu pia asali yake haipatikani kwa wingi na kwa vile inahitajika pia hivyo demand yake imeifanya kuuzwa Bei kubwa mfano Sh 30,000/ -50,000/ kwa kilo (sokoni wanaita Lita).
 
Hii ni possible hata majirani wanafanya
mkuu, project bado unaendelea nayo
Your browser is not able to display this video.
 
Mnapatikana wapi mkuu?
 
Je, ni kweli kwamba nyuki wadogo wana tabia ya kuua nyuki wakubwa?

Je, nyuki wadogo hawawezi kufugwa kitaalamu wakatoa asali nyingi kwa ajili ya biashara?
Ukweli ni kinyume chake yaani nyuki wadogo ndiyo wanaoumwa na wakubwa hiyo huwezi wafuga karibu. Hii pia ni sababu ya nyuki wadogo kueneleza lutoweka zaidi.

Nyuki wadogo wanafugw lakini uzalisha wao siyo mkubwa na hii ndiyo sababu asali yake inakuwa aghali sokoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…