Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Sasa wale wafia dini hebu tuelezeni huwa mnawapapatikia hawa watu Kwa sababu zipi?

Arabs wana roho zaidi ya mbaya
Hakuna jamii isiyo na watu wenye roho mbaya, hebu vuta picha muarabu nae yupo zake huko Arabuni anasikia hizi taarifa za Tanzania mara mume kamchinja mkewe na akamzika humo humo chumbani, atasema watanzania wana roho kama za wanyama wanauwana tu kumbe ni baadhi ya tabia za watu.
 
Hizo ni roho tu za kibinadamu ni kama mzungu anavyombagua vinicius Junior.
Dini ililetwa kwa wote thats why kuna wachina wanaijua dini na wanapractice kuliko waarabu na Allah amesema
"Hakika nimewaumbeni mataifa na makabila mbalimbali ili tu mjuane, Ila aliye bora na aliye karibu na Allah ni mtu mchamungu...... "
Angalia matendo ya binadamu wote duniani yanafanana, waislamu wa kweli tabia zao zinafanana, waislamu wa mchongo pia wanafanana na hata wanaopinga uislamu wanafanana kwa hoja na chuki zao.
Nakuusia ingia kwenye dini ya haki dokta Matola
Dini ya magaidi


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huku Zanzibar waarabu ndio watu wanaongoza kutoa sadaka na kuftarisha maskini kwa mwezi huu wa Ramadhan...hawa naongelea wale wanaotoa kwa siri sio tunaowaonq kwenye media, kuna watu wanatoa sadaka sn tena wala huwafikirii ni watu wenye uwezo wa kiasi tu
 
Mzee moja ya taratibu kuu za dini ya uislam ni Elimu, ni lazima kusoma sio hiari, asiyesoma amekwenda kinyume na utaratibu na misingi ya uislam, sisi waislam ndo tunakuambia kwenye uislam hakuna kitu hiki we na makafiri wengine mnalazimisha, hii ni ajabu kabisa hahaha
Yaani kafiri anajifanya anaujua uislam kuliko muislam mwenyewe,
Na ndio maana hata akili zenu zipo katika kueneza mabaya yanayofanywa na wasiojua dini kuliko mazuri ya wanaoijua dini ya Islam
Uislam na ubaya ni watoto wa mama mmoja roho mbaya na ubinafsi angalia kama hao wajinga wanaelazimisha watu wafunge zanzibar hii ni aibu kwani mwingine asipo funga wewe unapungukiwa nini aibu iwe juu yenu..
 
Uislam na ubaya ni watoto wa mama mmoja roho mbaya na ubinafsi angalia kama hao wajinga wanaelazimisha watu wafunge zanzibar hii ni aibu kwani mwingine asipo funga wewe unapungukiwa nini aibu iwe juu yenu..
Eneo lina tamaduni za kiislam na wenyeji wameamua iwe hivyo we kinakuwasha nini kwenda kuwavuruga,
 
UISLAM na Elimu wapi na wapi??.

Au Kumeza juzi ndio Elimu yenyewe?.

Infact kukalili tabu Zima Niko kunawafanya muwe Magaidi.
Ili kupractice Islam ni sharti uwe na ujuzi wa kutosha wa Uislam, ujue kila unachokifanya ili ukifanye kwa usahihi, bila hivyo pamoja na kuwa muislam bado utakua hatiani kwa kukiuka taratibu, Islam si dini ya wajinga unalazimika kusoma vizur
 
Kwani wewe hujaona Video ya Papa akimbagua Askofu mweusi wakati Maaskofu wazungu walipewa hug/mabusu shavuni alivofika kwa Mweusi nini kilitokea? Tena uyu Papa wa Mambo yaleeeeeee
Kwa hiyo ni sahihi kwa kuwa Papa alimbagua mtu mweusi?

Muambiwe nini Waafrika ili mtambue udhalimu ni udhalimu tu awe ametenda mwarabu awe ametenda mzungu awe ametenda Mweusi. Akitendawa imani tofauti unakosoa, akitenda wa imani yako mnapiga kimya.

Siku mtayojua Mungu ni Mungu na dini ni kazi za binadamu zenye mlengo wa kuhubiri utengano mtaishi kwa amani na upendo.

Mnajiita Watu wa dini mnazidiwa upendo hata na Wapagani? Mpagani hajawahi kumuangalia kwa imani yake anashirikiana na kila mmoja, ila nyie mnajikuta mnaijua dini sana hadi wengine mnawaona takataka.

HOPELESS.
 
Eneo lina tamaduni za kiislam na wenyeji wameamua iwe hivyo we kinakuwasha nini kwenda kuwavuruga,
Dini sio utamaduni dini ni mawasiliano kati ya mtu na anacho kiamini ndugu labda kama utakubaliana na mimi kwamba uislamu sio dini bali chama kinacho pambana kujitwalia madaraka ramsi ya kiserikali..
 
Yaani huwa nawashangaa sana wanaojinasibu na uarabu na kuwasifia...ndio maana kule Saudi Arabia wananyewa midomoni

Yaani Mtu na pua yake pana kama ngumi, nywele ngumu za katani na lips pana anajidai Mwarabu na kuona Waarabu wamestaarabika sana

Yaani hawa Watu weusi wana laana
[emoji16][emoji16]
 
Mwafria mweusi kwa Mwarabu ni sawa sawa na chatu na Mbwa. Mbwa akimwona chatu atajupeleka kumwzea huku akicheka. Kadhalika mwafrika mweusi anabaguliwa na kuteswa na mwarabu ila akimuona anaona kama kamuona mjukuu wa Mungu. Hata afanye baya gani kwa sababu ni mwarabu litatakaswa.
 
Uisilam ndio chanzo cha ghasia zote zinazotokea duniani, uisilam ni laana
 
Hata Rome Italy wamejaa wakristo na ndo umejaa ubaguzi kwenye mipira tu huwa tunaona kina ballotel wanavyopigiwa kelele za nyani na kutupiwa ndizi
 
Mwafria mweusi kwa Mwarabu ni sawa sawa na chatu na Mbwa. Mbwa akimwona chatu atajupeleka kumwzea huku akicheka. Kadhalika mwafrika mweusi anabaguliwa na kuteswa na mwarabu ila akimuona anaona kama kamuona mjukuu wa Mungu. Hata afanye baya gani kwa sababu ni mwarabu litatakaswa.
huwa wanasema mwarabu wana langi ya mtume wao
 
Hata Rome Italy wamejaa wakristo na ndo umejaa ubaguzi kwenye mipira tu huwa tunaona kina ballotel wanavyopigiwa kelele za nyani na kutupiwa ndizi
Roma sio wakristo hawajawahi kuwa wa kristo na hawatakuja kuwa wa kristo,

wale ni wapagani kama wapagani wengine
 
Roma sio wakristo hawajawahi kuwa wa kristo na hawatakuja kuwa wa kristo,

wale ni wapagani kama wapagani wengine
Sasa wakristo wako wapi? Maana hata Israel hakuna wakristo waislam ni wengi kuliko cristian wakristo wamekimbilia wapi?
 
Back
Top Bottom