Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Ile ya kutushauri twendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini... Wananchi wameanza kukataa.
Wananchi wengi wamekuja gundua wao wanasiasa WANAKULA NYAMA MTORI WANAUACHA JUU.
Wananchi wengi wamejikuta wakimaliza Mtori na kukuta chini patupu. Wachache wanasema kila wanapokaribia kufika chini ya bakuli wanaongezewa tena Mtori. Hawajawahi kuachwa wakutane na nyama.
But wananchi wamekuja kugundua Dhana hii ya KULA MTORI NYAMA UTAZIKUTA CHINI. Haitumiki kwa Viongozi. Wao mara zote wameonekana WAKILA NYAMA NA MTORI kutegemea kuukuta ikiwa watakuja fika chini. Jambo ambalo limekuwa ni Nadra sana kwao kutokea.
Maana huwa wanajua kuinuana...na kukumbukana.
Wananchi wengi wameanza kuonesha kutokubaliana na hali hiyo ya miaka yote na kuona wanafanywa watoto wadogo. Wamechoka wanataka katika kipindi hiki kigumu wote tunywe mtori na ikitokea kufika huko chini tu weze share Nyama pia.
Wananchi wengi wamekuja gundua wao wanasiasa WANAKULA NYAMA MTORI WANAUACHA JUU.
Wananchi wengi wamejikuta wakimaliza Mtori na kukuta chini patupu. Wachache wanasema kila wanapokaribia kufika chini ya bakuli wanaongezewa tena Mtori. Hawajawahi kuachwa wakutane na nyama.
But wananchi wamekuja kugundua Dhana hii ya KULA MTORI NYAMA UTAZIKUTA CHINI. Haitumiki kwa Viongozi. Wao mara zote wameonekana WAKILA NYAMA NA MTORI kutegemea kuukuta ikiwa watakuja fika chini. Jambo ambalo limekuwa ni Nadra sana kwao kutokea.
Maana huwa wanajua kuinuana...na kukumbukana.
Wananchi wengi wameanza kuonesha kutokubaliana na hali hiyo ya miaka yote na kuona wanafanywa watoto wadogo. Wamechoka wanataka katika kipindi hiki kigumu wote tunywe mtori na ikitokea kufika huko chini tu weze share Nyama pia.