Hahahaha utanivunja mbavu kwa kichekooIla wabongo bhana! Ety humu ndani kuna mtu anawaza kwenda kumtambulisha binti mwenye tatoo nyumban kwao, ety watamchukuliaje!! Wakati kaka yangu alioza kwa mdada mwenye upaa na midevu, mapengo na machacha!! Na tukampokea!! Vitu vingine sio vya kujaji bhana!!
Au nimeongopa wadau!!!
Hapo hakuna cha kujib mdau, hapo ni kusikitika tu make watu wanapendwa na wenye tatuu halafu wanawakataa ety wanatafuta waaiowapenda wawasumbue! Imauma sana!!Uzi mwingine unajiuliza unakosa majibu
Achukue chombo!! Hzo mitatoo ataisawazisha kwa pasi ya umeme!!KWA HIYO UNA USHAURI GANI MKUU?
Hahhh wengne wan makovu ya bangi sehemu flanIla wabongo bhana! Ety humu ndani kuna mtu anawaza kwenda kumtambulisha binti mwenye tatoo nyumban kwao, ety watamchukuliaje!! Wakati kaka yangu alioza kwa mdada mwenye upaa na midevu, mapengo na machacha!! Na tukampokea!! Vitu vingine sio vya kujaji bhana!!
Au nimeongopa wadau!!!