mara nyingi sababu zinazowafanya wanaume wasioe ni kuogopa majukumu mengi yanayoambatana na suala zima la kuoa: majukumu hayo ni pamoja na kutafuta mchumba, kufanya maandlizi ya harusi, kuandaa maisha yenu na ya familia yenu (kama mkijaaliwa kupata watoto) hapa ni pamoja na kuhakikisha familia ina mahali pa kuishi, chakula , mavazi, elimu, afya n.k. n.k., kuwa tayari kukabiliana na mambo kama magomvi na kuyatatua, vikwazo katika ndoa n.k., majukumu ya kuhudumia extended family (ya mke na ndugu zake na wa mume pia) n.k. n.k. majukumu haya yote yangekuwa yanaepukika na still ukawa na mke nakwambia kusingekuwa na bachelors mitaani! otherwise kama ni suala la kupika na kufua na kufanya ngono basi majawabu ya hayo yote yapo kuna house keepers wanaweza kufua na kupika, hotels zipo, madobi wapo, sex workers wapo n.k. lakini kuoa is more that that