blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 12,112 Reaction score 15,060 Oct 1, 2023 #61 Kuna boya mmoja mkenya alitaka oa hapa...
Mrs Van JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 7,416 Reaction score 16,603 Oct 1, 2023 #62 Amebadilika mno. Nilipoona picha yake ya tumbo wazi nilishangaa sana. Watu watakusema humu lakini ni ukweli familia ya obama ilijua kuteka watu kipindi hicho. Ilikua ni familia flani matawi saiv imekua tofauti sana
Amebadilika mno. Nilipoona picha yake ya tumbo wazi nilishangaa sana. Watu watakusema humu lakini ni ukweli familia ya obama ilijua kuteka watu kipindi hicho. Ilikua ni familia flani matawi saiv imekua tofauti sana
E Easy E JF-Expert Member Joined Feb 19, 2012 Posts 2,054 Reaction score 1,725 Oct 1, 2023 #63 Anafanana na kim jong