Sasha yamkuta, atapeliwa na wajanja wa mjini

Sasha yamkuta, atapeliwa na wajanja wa mjini

Jamani nini maana ya D😀😀😀 nijulisheni mimi muhenga
 
Ndo dawa ya hawa malaya
Kumbe ni mume wa mtu na analijuwa hilo?!
Ngoja tu atapeliwe
 
Sasha obama sio mzungu hata weupe kazidiwq na huyo sasha wa kwenye post hapo hio racism umeiona wapi??
Hakusema racism, kasema ractis, nafikiri ni aina ya gari aliyotapeliwa.
 
Hili demu dau lake kubwa kumng'oa, Nilimtafuta sana nami nikafaidi matunda ya Allah, nilishindwa alipo niambia nimpeleke Kilimanjaro Hotel kwa breakfast kama siwezi nisimsumbue, niliishiwa pozi...

Ila huo mtungi hapo kifuani utafikiri ana tenda ya ku supply kuwanyonyesha watoto wa ISIS
Hahaa watoto wa ISIS tehe
 
Hili demu dau lake kubwa kumng'oa, Nilimtafuta sana nami nikafaidi matunda ya Allah, nilishindwa alipo niambia nimpeleke Kilimanjaro Hotel kwa breakfast kama siwezi nisimsumbue, niliishiwa pozi...

Ila huo mtungi hapo kifuani utafikiri ana tenda ya ku supply kuwanyonyesha watoto wa ISIS
Kamanda kama ni ishu ya bei anang'oka sema hukuwa umejipanga.Angesema hatoi penzi kwa mtu asiyempenda au hajiuzi hapo nd'o ungesema mgumu.Lakini kama ni issue ya breakfast , lunch , hotel room na posho yake huyo ni mwepesi maana ananunulika ni kuongeza tu bajeti.Maana hotel room za hotel za 4 - 5 stars zinaanzia US$ 100 - 300 . Mwanamke yeyote abayejiuza ananunulika ili mradi uvifikie viwango alivyojiwekea.Halafu dau lake huwa linapungua kutokana na diplomasia na handling yako tu.
 
Back
Top Bottom