Sasso vs kuku wa nyama

Sasso vs kuku wa nyama

Fuga kuku wa nyama (broiler)kama soko unalo la uhakika. Kwa vifaranga 150 vinaweza tosha Kwa mtaji huo wa 600k

Hapa napiga hesabu za haraka kuwa kama utauziwa vifaranga 2000 manake itakutoka 300k chakula Chao ndani ya mwezi na madawa lazima itumike 260k.( Broiler sijawahi Fuga)

Kwa upande wa Sasso hapa Kwa uzoefu wangu nunuaa vifaranga 100 tu maana ukisema ununue 200 kwenye chakula hutawaweza japo unaweza kuwafuga kienyeji (wakajitafutia chakula wenyewe) ila ni hatari kwani uwezekano wa kupoteza ni mwingi.

NB:Anza na broiler then ukiuza Fuga sasso.
 
Fuga kuku wa nyama (broiler)kama soko unalo la uhakika. Kwa vifaranga 150 vinaweza tosha Kwa mtaji huo wa 600k

Hapa napiga hesabu za haraka kuwa kama utauziwa vifaranga 2000 manake itakutoka 300k chakula Chao ndani ya mwezi na madawa lazima itumike 260k.( Broiler sijawahi Fuga)

Kwa upande wa Sasso hapa Kwa uzoefu wangu nunuaa vifaranga 100 tu maana ukisema ununue 200 kwenye chakula hutawaweza japo unaweza kuwafuga kienyeji (wakajitafutia chakula wenyewe) ila ni hatari kwani uwezekano wa kupoteza ni mwingi.

NB:Anza na broiler then ukiuza Fuga sasso.
Hawa broiler bei za kuuza sokoni Kwa Sasa zikoje?
 
Fuga kuku wa nyama (broiler)kama soko unalo la uhakika. Kwa vifaranga 150 vinaweza tosha Kwa mtaji huo wa 600k

Hapa napiga hesabu za haraka kuwa kama utauziwa vifaranga 2000 manake itakutoka 300k chakula Chao ndani ya mwezi na madawa lazima itumike 260k.( Broiler sijawahi Fuga)

Kwa upande wa Sasso hapa Kwa uzoefu wangu nunuaa vifaranga 100 tu maana ukisema ununue 200 kwenye chakula hutawaweza japo unaweza kuwafuga kienyeji (wakajitafutia chakula wenyewe) ila ni hatari kwani uwezekano wa kupoteza ni mwingi.

NB:Anza na broiler then ukiuza Fuga sasso.
Asante kwa ushauri mzuri nashukuru sana.
 
Back
Top Bottom