Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Waambie polisi waache dhihaka kwa Watanzania.Naombeni niweke wazi, mimi sio askari wala siko upande wao!!
Najua maumivu anayoyapitia Edgar Mwalebela ( Sativa ) baada ya kutekwa na kunusurika kuuwawa mwaka huu.
Sasa jamaa yetu amekuwa akishambulia askari yoyote kwa lugha ngumu na kali.
Naomba ashauriwe apunguze kufanya hivyo, achague mbinu ya kudili na adui kimyakimya. Hii mbinu ya sasa inachafua taswira yake.View attachment 3152394View attachment 3152395View attachment 3152396
Unamaanisha hao wanaoteka raia mchana kweupe na kuwapoteza ?Naombeni niweke wazi, mimi sio askari wala siko upande wao!!
Najua maumivu anayoyapitia Edgar Mwalebela ( Sativa ) baada ya kutekwa na kunusurika kuuwawa mwaka huu.
Sasa jamaa yetu amekuwa akishambulia askari yoyote kwa lugha ngumu na kali.
Naomba ashauriwe apunguze kufanya hivyo, achague mbinu ya kudili na adui kimyakimya. Hii mbinu ya sasa inachafua taswira yake.View attachment 3152394View attachment 3152395View attachment 3152396
Anahitaji daktari wa saikolojia ,hapo alipo ni sawa na nyati aliyejeruhiwa Kwa risasi akikutana na binadamu yoyote lazima amsambulie ili kujihamu,amepoteza Imani na polisi, pole yake
Hatari sana.Apatiwe msaada wa kisaikolojia.Amepitia uchungu mwingi kati ya dunia na motoni.Vitani huchagui silaha. Mtu anusurike kufa afu uanze kumbwambia aseme hivi au vile, unaumwa?
Hawa kina Sativa, Lissu hata wakitoa matusi ya nguoni tuwaelewe tu wamepita bonde la uvuli wa mauti.
Anayechafua taswira ya mwenzake ni yupi, Polisi au yeye mhanga?Naombeni niweke wazi, mimi sio askari wala siko upande wao!!
Najua maumivu anayoyapitia Edgar Mwalebela ( Sativa ) baada ya kutekwa na kunusurika kuuwawa mwaka huu.
Sasa jamaa yetu amekuwa akishambulia askari yoyote kwa lugha ngumu na kali.
Naomba ashauriwe apunguze kufanya hivyo, achague mbinu ya kudili na adui kimyakimya. Hii mbinu ya sasa inachafua taswira yake.View attachment 3152394View attachment 3152395View attachment 3152396
Hivi kuna mtu amekuelewa hiki ulichojibu?Sure, ushauri makini sana, wenzake wanapeana shifti, yeye akilala, analala mazima mpaka asubuhi
Sure...Yani chalii kawehukaSure, ushauri makini sana, wenzake wanapeana shifti, yeye akilala, analala mazima mpaka asubuhi
Yani hicho ndo kibaya.Waambie polisi waache dhihaka kwa Watanzania.
Sativa ameongea yote kuhusu jaribio lake la kuuawa na polisi.
Mnampuuza malalamiko yake, namuunga mkono awaseme mpaka muone haya
Maana yake ni kua anao wa attack wanapeana zamu ya kulala na wengine kuendelea na majukumu..yeye akilala ni kama bata mzinga hadi asubuhi,,,Yani maana yake anaweza kupikwa futari kirahisiHivi kuna mtu amekuelewa hiki ulichojibu?
Tz ndiko tuliofikia huko?Maana yake ni kua anao wa attack wanapeana zamu ya kulala na wengine kuendelea na majukumu..yeye akilala ni kama bata mzinga hadi asubuhi,,,Yani maana yake anaweza kupikwa futari kirahisi
Mtamteka tena ?Sativa atakua wa demo siku si nyingi