Sativa ashauriwe apunguze kuwadhihaki Polisi

Next time, things won't be the same !!! This has to stick in his mind and decide otherwise !!!
 
Yeah jeshi kazi yake ni kulinda raia na mali Zake na sio kuteka raia SSH
 
Mdomo nao unaponza
 
Amezidi sana,siyo muda ataingia kwenye 18 zao, nikweli alichofanyiwa si kitu kizuri ila siyo muda ataponzwa na sifa za kijinga kwa comments za kumsifia...........wanamlia timing tu ajichanganye

Wewe anakukera?
 
Post za leo kwa polisi nahisi sativa hayupo Tz
 
Vitani huchagui silaha. Mtu anusurike kufa afu uanze kumbwambia aseme hivi au vile, unaumwa?

Hawa kina Sativa, Lissu hata wakitoa matusi ya nguoni tuwaelewe tu wamepita bonde la uvuli wa mauti.
Aminaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…