Sativa ni kujidanganya kulipwa Bilioni 5 na Serikali Kizembe

Sativa ni kujidanganya kulipwa Bilioni 5 na Serikali Kizembe

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
 
Cha Msingi ni kuwaexpose tu hawa watu ila Kuhusu Sheria ni very complicated issue Wanasheria inafaida kwao kwa kuwa Sheria ni Mchezo wa majibizano tu ila sio kama huko ndiko kuna Haki Maana Sheria zenyewe zinatokana na hii katiba yenye dosari kibao ambayo tunalia kila siku kuna tunataka ibadilishwe.
 
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.

Wewe unasema haiwesekani kwa misingi ipi ya kisheria. Kama mtu kachukuliwa na Polisi na kupigwa risasi i awezekana kabisa kulipwa na serikali
 
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
Subiri kesi iungurume. Hapa lengo siyo hata hiyo B5 bali kuweka kumbukumbu sawa.
 
Mtoa mada umeishia darasa la ngapi wewe!!!!
Ishu iliyopo sio billion 5, watanzania tunahitaji tuwajue hao akina mafwele mahakamani na atatafutwa popote alipo apande kizimbani..hizi kesi zitajulikana duniani kote kuwa SERIKALI ya TANZANIA ni watekaji
Hacha ujinga elewa, efeta wewe
 
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
Unajua maana ya Demand Notice? Unaelewa kuwa ni hitaji la kisheria kumuandikia notice mdaiwa kabla ya kumshtaki mahakamani kwa kudai fidia?
 
Wewe unasema haiwesekani kwa misingi ipi ya kisheria. Kama mtu kachukuliwa na Polisi na kupigwa risasi i awezekana kabisa kulipwa na serikali
Ni kipengere gani kinachosema sativa alipwe billion 5?
 
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
Kwani wewe usiende mahakamani kwa niaba yake?
 
Si umehojiwa na chombo kilichope Kenya. Au huoni akaunti yake

Hata uandishi wake unaona kabisa ni mtu ambaye hayuko Tz, hata kesi kafungua kupitia mawakili

Ni nzuri kwa usalama wake ,kwa TZ lazima wangemmaliza kwa mara ya pili.
 
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
B 5 aiseee kwl hapo tumepgwa naktu kzto
 
Back
Top Bottom