Sativa ni kujidanganya kulipwa Bilioni 5 na Serikali Kizembe

Sativa ni kujidanganya kulipwa Bilioni 5 na Serikali Kizembe

Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
Kwa maoni yangu, hajidanganyi! Kisheria cases zinazoangukia kwenye general damages (unless kuna proof ya specific damages ambazo mtu amepata) uamuzi tunabaki kwa mahakama - mahakama inaweza kuona kwamba kiasi ulichodai ni kikubwa mno ikapunguza, au kwamba ni kidogo na ikaongeza. Sasa kwa vile mtu anayedai hawezi kujua uamuzi wa mahakama, anaweza kuweka kiasi cha kuanzia na ni mahakama itakayoona ikuliane nacho, ikipunguze au ikiongeze. Hivyo, katika muktadha huo mlalamikaji anaweza kuanzia mahali fulani, kama huyu mkuu alivyofanya.
 
Dunia ipi unazungumzia? USA? UK? Burundi?
Mtoa mada umeishia darasa la ngapi wewe!!!!
Ishu iliyopo sio billion 5, watanzania tunahitaji tuwajue hao akina mafwele mahakamani na atatafutwa popote alipo apande kizimbani..hizi kesi zitajulikana duniani kote kuwa SERIKALI ya TANZANIA ni watekaji
 
Atumie hii fursa kupata political assylu nchi za Scandinavia aache upimbi
 
Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe .
Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa?
Jana nilitoa ushauri ata kama mahakama zetu mbovu nendeni mkafungue kesi juu ya Mafwele najua mnaweza msipate haki,lakini muuaji mtakuwa mumeshamshusha nguvu na watu watakuwa wamemjua na kasi itapungua.
Pia mahakama ndyo itoe maamuzi ya wewe kulipwa, kwakua mkono wa raisi ulitoa baraka za kulipwa M30 za matibabu, basi nendeni mahakamani kwakua umemtambua mtekaji.
Wewe ndo DPP?

Acha kiherehere wewe ni mtoto wa kiume!! Subiri Mahakama impige chini ndo uandike huo utumbo wako!
 
Back
Top Bottom