Pre GE2025 Sativa: Nilitekwa na Jeshi la Polisi wakiwa na lengo la kuniua, hata nikipotea kesho Jeshi la Polisi litakuwa limehusika

Pre GE2025 Sativa: Nilitekwa na Jeshi la Polisi wakiwa na lengo la kuniua, hata nikipotea kesho Jeshi la Polisi litakuwa limehusika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
Baada ya ukimya wa muda mrefu, hatimaye Edigar Mwakabela maarufu kama Sativa ameweka ujumbe unaotoa dokezo kuwa Jeshi la Polisi ndilo lilihusika kumteka wakiwa na lengo la kumuua.

Amesema ujumbe huu utumike kama rejea rasmi ya kuwashtaki polisi hata ikitokea siku moja hayupo Duniani.

Stori ya kutekwa kwake ipo hapa: Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa

1000123172.jpg

Kupita matukio mengine ya utekaji nchini bofya hapa:
Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Madai haya yanatolewa siku moja baada ya Spika wa Bunge la Tanzania kukataa kujadili hoja ya utekaji, na Mahakama Kuu kusema haina ushahidi kuwa Polisi ndiyo wanahusika na utekaji unaoendelea nchini.

Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea
 
Watu wanauelewa mdogo sana kuhusu sheria Yeye ndo aende kuwashitaki hao polisi muda huu akiwa hai kwa kesi ya kuteka na attempt murder kama anasubiri atekwe na auwawe alafu watu watumie hiyo tweet kuwashitaki polisi hiyo kesi kushinda ni ndoto ya abunuwasi
 
Watu wanauelewa mdogo sana kuhusu sheria Yeye ndo aende kuwashitaki hao polisi muda huu akiwa hai kwa kesi ya kuteka na attempt murder kama anasubiri atekwe na auwawe alafu watu watumie hiyo tweet kuwashitaki polisi hiyo kesi kushinda ni ndoto ya abunuwasi
Kama hoja ya utekaji,mateso na mauaji inakataliwa kujadiliwa hadharani pale Dodoma kwa manufaa ya umma,unataka kumuambia nini huyo Edgar akijipeleka mwenyewe mikononi mwa watesi na wauaji aliowataja?
 
Nami nakazia kwamba jeshi la polisi ni majambazi waliovaa uniforms wanaoteka na kuua raia wasiokuwa na hatia bila sababu za msingi. Nchi hii ina mipolisi mitutusa sana. Sijawahi kuona polisi wenye akili za kiumbvwa, kiquma na kinyumbu kama poliCCM.
 
Kama hoja ya utekaji,mateso na mauaji inakataliwa kujadiliwa hadharani pale Dodoma kwa manufaa ya umma,unataka kumuambia nini huyo Edgar akijipeleka mwenyewe mikononi mwa watesi na wauaji aliowataja?
Sasa kama akiwa hai ameshindwa kuwapeleka wakati yeye ndo shahidi pekee ambae ni muhimu akifa anategemea nani atapeleka maneno matupu yasiyo na ushahidi?
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Baada ya ukimya wa muda mrefu, hatimaye Edigar Mwakabela maarufu kama Sativa ameweka ujumbe unaotoa dokezo kuwa Jeshi la Polisi ndilo lilihusika kumteka wakiwa na lengo la kumuua.

Amesema ujumbe huu utumike kama rejea rasmi ya kuwashtaki polisi hata ikitokea siku moja hayupo Duniani.

Stori ya kutekwa kwake ipo hapa: Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa


Madai haya yanatolewa siku moja baada ya Spika wa Bunge la Tanzania kukataa kujadili hoja ya utekaji, na Mahakama Kuu kusema haina ushahidi kuwa Polisi ndiyo wanahusika na utekaji unaoendelea nchini.

Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea
Kabla hajatekwe siku hiyo ya tarehe 23/06, Sativa alipost hii picha na haya maneno, je alikuwa anamlenga nani?

Screenshot_20240811_060907_Chrome.jpg
 
Lakini,hakutoa orodha ya anaowaasa kutumia maneno yake kufungua shauri.Kumpangia mikao ni kumnyang'anya uhuru wake wa kujinafasi.Alale,akae au akimbiekimbie ni uchaguzi wake.
Kama yeye kakubaliana na kilichompata asitegemee kuna mtu atakua na uchungu nae baada ya kutekwa kwa mara nyingine, hapo kazungukwa na wanafki wanaotumia hayo matukio kujijenga kisiasa Kama wangekua na uchungu na uhai wa watu wasingekubali la Ben sanane lipite Kama lilivyopita, ila hakuna hatua zozote
 
Back
Top Bottom