SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Kafunzwa adabu hajauawa kikatiri ni funzo tu siku nyingine akigusa shavu akumbuke kua kutukana sio vizuri itamkumbusha pia kwamba Bange sio nzuri kwa afya ya akili
Aligusa shavu la nini kwanza??
Nafikiri tuheshim sheria otherwise ipo siku masela watavamia Bunge
 
Kunamengi maswali ila ndugu yetu atakuwa na meng ya kusimulia ila sijui kama atathibutu kuyasema yote
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…