SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Tukifa tutajibu nini kwa MUUMBA?.
Haya maisha ni zawadi tu tumepewa kwa kitambo kidogo.

Mambo ya dunia yasitufanye kusahau kuwa sisi ni kama ua huchanua na kupendeza ila mwisho hunyauka
 
kama alikua akitumia lugha za matusi mtandaoni huwenda akawa ni mwananchi mwenye hasira kali kamfanyia hayo yote
Mwananchi ampeleke Karakana ya Polisi Oesterbay hiyo Access mwananchi wa Kawaida anaitoa wapi??

Na bado asubuhi amchukue ampeleke Arusha ampeleke katavi pia akampige risasi???

Mwananchi wa Kawaida?? Really??
 
kama alikua akitumia lugha za matusi mtandaoni huwenda akawa ni mwananchi mwenye hasira kali kamfanyia hayo yote
Naona umekosa hata jinsi ya kuitetea serikali yako unasingizia mwananchi mwenye hasira kali

Na sisi tunahitaji kumuona huyo mwananchi mwenye hasira kali alie na uwezo wa kumteka mtu na kumpeleka kwenye karakana ya jeshi la polisi kisha kumsafirisha hadi Arusha kisha Katavi na kumpiga risasi ya kichwa
 
Mbona yeye anajiita Sativa17 na si 225? Which is Which?

Ila it is not good at all, God sees
Jina lake ni Sativa 17 na Pia sativa 225.. yote majina yake
Screenshot_20240627_211955_X.jpg
 
Back
Top Bottom