Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri watu ni waoga kama wewe?Daaaaa....wamemfilimbaa huyo hatakaa atukane serikali kamweer
Hapo kadanganyqDuuh Risasi ya Kichwa?
Mwananchi ampeleke Karakana ya Polisi Oesterbay hiyo Access mwananchi wa Kawaida anaitoa wapi??kama alikua akitumia lugha za matusi mtandaoni huwenda akawa ni mwananchi mwenye hasira kali kamfanyia hayo yote
Kuna nyakati hata wasomaji comment wata anza kusakwa na kutekwaDaaaaa....wamemfilimbaa huyo hatakaa atukane serikali kamweer
kumbukumbu zake huwenda haziko sawa kutokana na majerahaMwananchi ampeleke Karakana ya Polisi Oesterbay hiyo Access mwananchi wa Kawaida anaitoa wapi??
Na bado asubuhi amchukue ampeleke Arusha ampeleke katavi pia akampige risasi???
Mwananchi wa Kawaida?? Really??
Naona umekosa hata jinsi ya kuitetea serikali yako unasingizia mwananchi mwenye hasira kalikama alikua akitumia lugha za matusi mtandaoni huwenda akawa ni mwananchi mwenye hasira kali kamfanyia hayo yote
Daktari pia kadanganya????Hapo kadanganyq
Daktari mkuu wa Wilaya (DMO) Kathibitisha kwamba Kumbukumbu Zake Ziko sawa na majeraha hayaja msababishia Madhara makubwa..kumbukumbu zake huwenda haziko sawa kutokana na majeraha
Jina lake ni Sativa 17 na Pia sativa 225.. yote majina yakeMbona yeye anajiita Sativa17 na si 225? Which is Which?
Ila it is not good at all, God sees
Umepitia Post za hadi lini, kapitie tena.Yote hayo kwa ajiri ya kukosolewa tu? Mbona hatari sana hii, maana nimepitia tweet zake ni maoni ya kawaida tu tena hata matusi hamna!