Artificial Horizon
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 432
- 977
View attachment 3027887
kwa MATUSI haya.......! bado mnasema kuna NGO ama WIZARA imehusika????? hivi ndo mtu wa kumuonea huruma tena na mchango juu??????
tunachoweza kukiona ni KUTUKANA TU....!Kutukana ndio wampige risasi ya kichwa si kuna mahakama na sheria ya mtandao ipo.
Kwamba raia wa kawaida anaweza akakuteka akakupeleka karakana ya polisi, akakutoa akakusafirisha na kupita check point zote mpaka katavi na kukutupa polini,tunachoweza kukiona ni KUTUKANA TU....!
Lakini tukumbuke kuwa mtu anapoishi kuna mengi yanayomzunguka..... KUTUKANANA, KUDHULIMIANA, KUCHUKUA WAKE ZA WATU na kadhalika.......
Kuna maisha ya KAMARI (kubet) ambapo kuna kula na kuliwa, na bado ukamletea dharau na kebehi ULIYEMLA
(Kwanini tunajifungia fikra zetu kufikiri nje ya boksi)
NAKUPONGEZAKwamba raia wa kawaida anaweza akakuteka akakupeleka karakana ya polisi, akakutoa akakusafirisha na kupita check point zote mpaka katavi na kukutupa polini,
Acha kujifyatua akila, hizo kauli za nje ya box uwa ni za kijinga
Kiongozi acha kujitoa akili kuna MGONI anapelekwa kwenye karakana la jeshi la polisi , nyie mmekunya nje tokeni mkazoe .NAKUPONGEZA
(pale ambapo tunajielekeza upande mmoja , tunampa nafasi na uhuru zaidi mtenda kosa la utekaji na kutuona wote MBULULAZ) kwani hatutoweza kumbaini.........! hivi mwisho wa siku watekaji wake wakabainika (MFANO: MUME WA MTU AMBAYE ALIKUWA ANAMTUHUMU MTEKWAJI KUTEMBEA NA MKE WAKE........ HIZI KOMENT ZETU ZOTE ZITAENDELEA KUBAKI VILE VILE?????????)
Kumbe ni anatukana, nathamini sana mkosoaji anaetumia lugha ya staha, kukosea kupo , serikali yetu ina mapungufu mengi , lakini kwani lazima utukane?Waambieni hao Vijana waache ujinga wao la sivyo wataiona hii Dunia ni chungu,wanatumika na Wanasiasa ambao hawawezi kuwasaidia.👇👇
View: https://twitter.com/Sativa255/status/1804606367329566862?t=M1Qhbbg6n5ZN3F4fj-kDbg&s=19
Hapo kashatoboa Usa wanampa uraia fasta anachotakiwa aende tu na evidenceWakuu Salama,
Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.
Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.
Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.
Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.
Kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera kuhusu kuwapoteza watu soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.
Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
je Kuna KANUNI ya mlipizaji kisasi apite wapi na wapi?Kiongozi acha kujitoa akili kuna MGONI anapelekwa kwenye karakana la jeshi la polisi , nyie mmekunya nje tokeni mkazoe .
Huyu Dogo ameshatoboa hapo Uraia wa Marekani na nchi za E.U upo nje nje kama ana bachelor akienda anongezea masters huko ameshatoboa. Anatakiwa tu apate watu wa kumuongoza.View attachment 3027887
kwa MATUSI haya.......! bado mnasema kuna NGO ama WIZARA imehusika????? hivi ndo mtu wa kumuonea huruma tena na mchango juu??????
Tuacheni serikali ifanye kazi yakeWakuu Salama,
Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.
Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.
Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.
Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.
Kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera kuhusu kuwapoteza watu soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.
Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
hii ndo Tz nayoijua mim.. we wateteee, pigania haki zao weee cku ukidakwa na wasiojulikana wapate content wapige pesa tiktok!Wapi picha? Isijekuwa amefumaniwa na mke wa mtu mnawasingizia maccm.
Ukijichanya na mke wa MTU ama zake ama zako hawezi kuhanga kutekaWapi picha? Isijekuwa amefumaniwa na mke wa mtu mnawasingizia maccm.
FORMULA YA KIMUUNGU NI KWAMBA AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGAWakuu Salama,
Sativa amekuwa akitafutwa toka weekend (Jumapili - 23/6/2024), baada ya ndugu zake kumtafuta bila mafanikio.
Watetezi wa haki za binadamu wamepiga kelele kuhusu hili hata mmojawapo wa viongozi wa ACT Wazalendo Rahma Mwita alizungumza suala hili kwenye kwenye XSpaces jana 26/6/2024 kuwa yupo tayari kujitolea muda wake kuambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kwenye vyombo vya habari na asasi mbalimbali za kiraia kupaza sauti kuhusu kupotea kwa kijana huyu.
Edgar anaishi Mbezi kwa Msuguli na amepatikana katika Hifadhi ya Katavi akiwa amepigwa sana, hali yake ikiwa si nzuri.
Kama kelele zisingepigwa huyu ndio ilikuwa ntolee, halafu kuna chawa wanaotetea ujinga kila siku.
Kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera kuhusu kuwapoteza watu soma hapa: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Aisee, wakati wa kubadilika ni sasa, mtu akipotea wote tupige kelele, serikali ikienda kushoto wote tupige kelele. Isiwe kazi ya wanaharakati wachache au watetezi wa haki za binadamu, peke yao hawawezi. Tukiungana wote tunakuwa na nguvu.
Tuendeleze hashtag Wakuu, #KataaMachawa #KataaUozo2025, amsha kila utakayeweza kumuasha, tushikamane na kuteteana wakati wote kuleta uwajibikaji nchini.
Wewe nae unahitaji sala ya ukombozi kwa haya unayoandika.tunachoweza kukiona ni KUTUKANA TU....!
Lakini tukumbuke kuwa mtu anapoishi kuna mengi yanayomzunguka..... KUTUKANANA, KUDHULIMIANA, KUCHUKUA WAKE ZA WATU na kadhalika.......
Kuna maisha ya KAMARI (kubet) ambapo kuna kula na kuliwa, na bado ukamletea dharau na kebehi ULIYEMLA
(Kwanini tunajifungia fikra zetu kufikiri nje ya boksi)