Sato bei poa kulingana na uzito

Sato bei poa kulingana na uzito

Ni vizuri uwe na uhakika na jambo unalosema mkuu kuliko kuongea vitu vya nadharia (inasemekana) tena uongo mkubwa kutoa lugha chafu kwa vyakula vinavyotumiwa na wengi wetu hapa nchini na nje ya nchi.
Hizi tuhuma ni nzito mno mkuu. Binafsi nilitarajia ungejibu tuhuma kwa Hoja zinazoshawishi badala tu ya kushutumu kama ulivyofanya. Mambo mengi huanza kwa kusemekana kabla hayajathibitishwa..
 
Hizo samaki zimekuwa zimekaa Sana toka kuvuliwa,Tena inasemekana dawa ya kuhifadhia maiti ndiyo huwawekea hao Sato ili wasihalibike.
Yaani utumie formalin kuhifadhia samaki, unaijua vizuri formalin au unaisikia......chunguzeni mambo, siyo kutegemea story za vijiweni...
 
Wazee wa tembele bana...et zina dawa ya maiti..
Kama hamna pesa kaeni kimya endeleeni kula tembele..heheheheee wabongo bana
 
Back
Top Bottom