Hawamjui changu hawa au hata mzia kwa mchuzi au chukuchuku haswaaa ni balaaaChangu ana ladha bwana acha tu, sato ukijua kumpika utamfaidi.
Sato huwa ninamtia tangawizi, thomu, limao, chumvi na pili pili ndiyo ninambanika na foil kabla sijapika mchuzi
kuna mwingine aitwa mkun** wa haji wenyewe wanafupisha na kumwita mkundaji (nkundaji) ni samaki mmoja amazing sana
Nikija dar nitakutafuta uninunulie rafikikuna mwingine aitwa mkun** wa haji wenyewe wanafupisha na kumwita mkundaji (nkundaji) ni samaki mmoja amazing sana
Nisaidie
karibu sana ila chonde chonde yule jamaa umuache hukohuko usije nae.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwamba Siku hiyo.....ππ
Siriikaribu sana ila chonde chonde yule jamaa umuache hukohuko usije nae.
Mkuu huyu aungwe nazi kwa wali,pembeni una embe dodo au ndizi mbivu burudani yake si kototo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa mfano ukiamua tu unaanza
Labda uchanganye na bamia na nyanya chungu kibua hana supuu nzitooMkuu huyu aungwe nazi kwa wali,pembeni una embe dodo au ndizi mbivu burudani yake si kototo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe muongooMtafute samaki mmoja anaitwa domodomo ni mtamu balaaa ila ni adimu kupatikana
Oouh ndiyo maana huyu Mzed kila siku ananizidi unene eeeh.Changu ana ladha bwana acha tu, sato ukijua kumpika utamfaidi.
Sato huwa ninamtia tangawizi, thomu, limao, chumvi na pili pili ndiyo ninambanika na foil kabla sijapika mchuzi