Saudi Arabia Miseries: Video inayoonyesha wanawake wanaonyonyesha mbwa nchini Saudi Arabia yawakasirisha Wakenya

Saudi Arabia Miseries: Video inayoonyesha wanawake wanaonyonyesha mbwa nchini Saudi Arabia yawakasirisha Wakenya

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kufuatia kadhia mbalimbali zinazoendelea kwa wakazi wa ukanda wa Afrika mashariki kutoka nchi za kiarabu.

Bunge la kenya linategenea kupitisha azimia ka kupiga marufuku raia wao kwenda nchi za kiarabu kufanya kazi za ndani.

Majuzi hapo kuna video ilitapakaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha binti anayelazimishwa kuwaonyesha watoto wa mnyama 'mbwa' puppies huko Saudi Arabia.

Hapa chini kwenye sinema hii ni familia yake ikijaribu kueleza kile walichojua kutoka huko alipokuwa mwana wao.



NOTE: Kuna mambo ya kujifunza hapa, usichukulie sawa sawa.

Moderator usiondoe huu huzi wala kuuamisha hapa ili wabongo wanaotaka kwenda huko wapate somo.
 
Islam ni dini ya amani🤔🙌🚮waturegeshee Nchi zetu!Western Sahara,Morroco, Tunisia, Libya,Egypt, North Sudan,Somalia!!!nkt
Ivo ndivo walivyofanya Afrika!!!
 
Waarab wana roho mbaya sana..

Saudi arabia ndio nchi takatifu ya kiislamu...

Na katiba ya nchi ya saudi arabia ni Quran

Wananchi wanasali sala 5.. ila matendo yao ni ya kishenzi sana.
Nadhani na sisi Njaa imezidi mpaka tunaenda kujidhalilisha huko Kwa Wavaa kobazi wenzetu katika HAKKIIIII.
NB: Kabla hujasafir jipange.
 
Waarabu (siongelei waislamu) ni race ya hovyo, yamejaa ukatili tupu na chuki.

Hata hao FIFA (Infantino & wenzake) walipeleka kombe la Dunia Qatar baada ya kula mlungula mrefu.

Maelfu ya watu weusi wamekufa wakijenga hivyo viwanja vitakavyotumika, na ndio maana wazungu wanapinga ila ndo hivyo tena...
 
Waarabu (siongelei waislamu) ni race ya hovyo, yamejaa ukatili tupu na chuki.

Hata hao FIFA (Infantino & wenzake) walipeleka kombe la Dunia Qatar baada ya kula mlungula mrefu.

Maelfu ya watu weusi wamekufa wakijenga hivyo viwanja vitakavyotumika, na ndio maana wazungu wanapinga ila ndo hivyo tena...
Ila Wazingu wameua watu wengi kuliko Waarabu na race nyingine combined

1. Vietnam
2. Afghanistan
3. Iraq
4. Libya
 
Waarabu (siongelei waislamu) ni race ya hovyo, yamejaa ukatili tupu na chuki.

Hata hao FIFA (Infantino & wenzake) walipeleka kombe la Dunia Qatar baada ya kula mlungula mrefu.

Maelfu ya watu weusi wamekufa wakijenga hivyo viwanja vitakavyotumika, na ndio maana wazungu wanapinga ila ndo hivyo tena...
Al Arabia Al Kafir
 
Kufuatia kadhia mbalimbali zinazoendelea kwa wakazi wa ukanda wa Afrika mashariki kutoka nchi za kiarabu.

Bunge la kenya linategenea kupitisha azimia ka kupiga marufuku raia wao kwenda nchi za kiarabu kufanya kazi za ndani.

Majuzi hapo kuna video ilitapakaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha binti anayelazimishwa kuwaonyesha watoto wa mnyama 'mbwa' puppies huko Saudi Arabia.

Hapa chini kwenye sinema hii ni familia yake ikijaribu kueleza kile walichojua kutoka huko alipokuwa mwana wao.



NOTE: Kuna mambo ya kujifunza hapa, usichukulie sawa sawa.

Moderator usiondoe huu huzi wala kuuamisha hapa ili wabongo wanaotaka kwenda huko wapate somo.
Mwarabu sio binadamu kabisa.
Hata enzi za kupelekwa utumwani babu zetu, walioenda uarabuni walipotezwa mazima tofauti na waliopelekwa kwa wazungu vizazi vyao vipo huko hadi wa leo.
Na baadhi wazungu waliwarudisha baadae na kuwapa nchi ya urithi wao Afrika kama walivyo kule Liberia.
 
Ila Wazingu wameua watu wengi kuliko Waarabu na race nyingine combined

1. Vietnam
2. Afghanistan
3. Iraq
4. Libya

Hizo nchi 3 za waarabu ulizozitaja ukiondoa Vietnam hapo..

Walibondwa kwa sababu ya response ya sept 11 attack.. war against Terrorist ndio sababu kuu ya watu wengi kuuwawa huko maana walikuwa wanamsapot osama bin laden.. wazungu wakajua osama amefichwa na nchi hizo.. ndio maana wakaenda kuwabonda ili wamtoe osama mafichoni
 
Ila Wazingu wameua watu wengi kuliko Waarabu na race nyingine combined

1. Vietnam
2. Afghanistan
3. Iraq
4. Libya
Waarabu ndio wauwaji wakubwa Hadi waleo wameua watu trillioni!!!
Wazungu walipokanyaga Afrika Mara ya kwanza walipata Waarabu!!ndio maana wazungu walileta injili kwa fujo!👌

Waarabu walikuwa wamepanga kuzingira Afrika yote watuchukuwe mateka!!!Kama walivyofanya North Afrika na Kila Sehemu za bahari Afrika!!!
Na huko umetaja sjui Iraq Syria ni Waarabu wenyewe wanaishi na ni wao wanaolipua mama zao🚮
Ebu angalia tofauti ya wazungu na waarabu Afrika!!
Wazungu waliteka wakatusomesha na wanaenda zao!!
Waarabu walikuja na kuchukua mateka miaka yote!!!👌mpaka sasa hivi wanachukua Western Sahara!!!!🚮wanataka kuchukua mpaka Kenya!!!
 
Back
Top Bottom