Saudi Arabia na EPL ugomvi zito

Kwani EPL walikatazwa kuwanunuwa?
 
Ligi za Ulaya nazo zilifanya hivyo hivyo kwa ligi za Afrika, South America na hata ligi nyingine za Ulaya.

Kwa nini mnawasema Waarabu kwa kufanya kitu kilekile walichofanya Ulaya?
Nahisi Kuna udini hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…