Saudi Arabia na Washirika wa OPEC+ wakubaliana kupunguza uzalishaji Mafuta ili kulinda Soko

Saudi Arabia na Washirika wa OPEC+ wakubaliana kupunguza uzalishaji Mafuta ili kulinda Soko

Dunia ya leo wanacheza na vichwa vya watu.

Bei itapanda kwa lazima na hilo ndio wanalolitaka.

Kuna makampuni mengi sana yamepiga hela za faida mara 10 ya faida walizokuwa wanapata
Yaani tangu Covid mpaka Ukraine hali ni mbaya kwa wengine na ni nzuri kwa makampuni makubwa kama ya Gas na Mafuta

Sisi waafrika nao tunaburuzwa tu
Nchi zetu hazina umoja kabisa kwa chochote
Ni kweli makampuni makubwa ya mafuta yamepata faida za kihistoria na wanataka zaidi na zaidi. Kwenye soko huria hakuna 'mjomba' wa kulinda maslahi yetu, kila mtu anavutia upande wake. Hatuna budi kuwa na mipango madhubuti.
 
Ni kweli makampuni makubwa ya mafuta yamepata faida za kihistoria na wanataka zaidi na zaidi. Kwenye soko huria hakuna 'mjomba' wa kulinda maslahi yetu, kila mtu anavutia upande wake. Hatuna budi kuwa na mipango madhubuti.
Mipango madhubuti yatakiwa tuwe na pesa na reservoir kama Marekani
 
Yericko Nyerere wa Mbutu amefurahia sana hii habari asijue atakayeumia zaidi ni shangazi na mjomba wake hapa bongo.
 
Back
Top Bottom